Hello Binti Sayuni, I am fine, I heard of you from my hubby. Homa imenipelekesha kiasi chake, yaani hata siku hiyo ya party nilikuwa naendesha tu kwa kuwa ni mume wangu, la sivyo nisingetoka kabisa. Kwa sasa namshukuru Mungu kwa uponyaji wake. Vipi wewe unaendeleaje?
Kiukweli hata mimi sijui hiyo lugha sana, ila baba anaendelea kunifundisha na ni lugha ngumu kwangu, Lakini ina kladha yake hivi! Naamini siku ya Party mliongea sana na ndio maana nilipokuja kumchukua tayari alikua kachangamka sana nikajua lazima atakuwa amekutana na ndg zake. Au post kwa Lugha...
Teh teh teh teh mzabzab sijui nichekeje mie, watu huoana kutokana na maeneo waliyokutana, kwa mfano humu jf ni mahali pazuri pa watu kufahamiana. Makanisani na misikitini. Maeneo ya michezo, kumbi za starehe na popote pale penye mijumuiko ya watu.
Nina mfano ulio hai kabisa. Mume wangu Thanda...
Kaka Mtambuzi my hubby aliniambia unafaa kuwa wewe ni Event Manager mzuri sana, Protocol Officer, Waziri Wa Jf( Wizara ya Fedha, Wizara ya Habari na Utangazaji, Wizara ya Usalama wa Raia,)na hapa JF nakuona kama mtu muhimu sana katika fani ya sanaa. Sanaa kwa maana ya ubunifu fulani wa mambo...
thando anawatamania sn ila anaumwa jamani, plz jf members take a very gud care of my hubby thanda, i love him jamani he is my all. miss u all. enjoy urselves
Uko vizuri sana @lara1. Sio bure nivea aliniambia njoo huku utaona mambo, kweli sasa naamini kuna mambo. Inabidi sasa nipunguze muda wa kuangalia movies ili nikutane na watu wengine wengi zaidi.
Asante sana kwa kunishauri vizuri, ila siamini kama nina ujasiri wa kumnyima haki yake ya msingi. Mapenzi hayana formula wala timetable. Siamini kama anaweza kuja na topic kama hiyo kwani najiamini sana hapo naye anajua vizuri kuwa mom yuko vizuri.
Ni kweli Mkuu Smile, haswa inapokuwa ni suala la kuongeza kipato. Na hata kama si hivyo basi, sio wakati wote mtu utajisikia kusafiri kwa kutumia aina fulani ya usafiri, utajisikia kubadilisha kwa sababu fulani fulani. Mimi ni mzoefu wa safari za kila aina ila kweli mood ya kupanda basi...
Mkuu Kaunga, unasema kweli ila wakati mwingine lazima mke uoneshe ukomavu katika baadhi ya mambo. Kama mwanamke, sina udhaifu kama ambavyo wanaume wengi wanavyotufikiria, hapa hakuna cha kuwezeshwa, kuweza wala nini...sisi tu mwili mmoja. Mimi ni mwanamke ninayejiamini sana na pia napenda...
Asante kwa ushauri ndugu yangu mpigamsuli. Mwenye Enzi najua atamlinda kama alivyowalinda kaka zake. Kana maakili sana hadi naogopa. Ukiongea naye utafikiri ni mtu mzima wa kama miaka 15 hivi. kumbe wapi!! Anataka kujua kila kitu,hata kuendesha gari utafikiri anaweza.
Hilo ni pepo la ufilisi, umasikini na uharibifu. Zingatia maombi sana na hizo tabia itafika mahali ataziacha zote na kuzijutia. Akifikia hapo msamehe na umpende. Kuna mambo mengi yanayoweza kuchangia mtu kufikia hali hiyo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.