Leo nilienda kununua Kuku wa Christmas kwa jamaa Muislamu. Hakuniuliza mimi ni dini gani lakini akasema duh afadhali sikukuu za hawa wenzetu (Wakristo) walau tunafanya biashara. Wakija hapa wananunua tu Kuku akiwa mbiishi sana anaomba umpungizie buku tu basi lakini sherehe zetu (sijui...
Ungekuwa Mwana Chadema ungejua kwamba baada ya uchaguzi Mkuu iliitishwa Kamati Kuu kujadili matokeo yaliyokuwa yanatangazwa.
Halafu kila siku Makene amekuwa akitoa taarifa mbalimbali kuanzia matokeo,kifo cha Alfonce Mawazo na Kaimu Katibu Mkuu mara nyingi anatoa taarifa wewe huwa...
Mzee kura za Urais za Chadema ni pamoja na za CUF,NLD,NCCR Mageuzi na labda CCM, TLP na vyama vingine. Nadhani cha kushangaa ni kura za CCM za urais kuwa nyingi kuliko za Ubunge. Angalia jimbo kama Arusha ambako Chadema wameishinda CCM kwa kura karibu 90,000 lakini...
Masahihisho...Julius Mtatiro alikuwa Waziri wa Mikopo kwenye Serikali ya Mwita Magessa 2006/2007(kutoka COET) ambaye alimpokea Mwita Mwikwabe Waitara. Waziri wa Mikopo wa Deo (Mtatiro akiwa Waziri Mkuu) alikuwa Buhenyenge Josphat maarufu kama Bush.
Unamuonea Askofu Malasusa, aliyetoa kauli hiyo ni Askofu Methodius Kilaini wa Jimbo Kuu Katoliki Dar es Salaam. Wakati huo Malasusa wala hajulikani wala hakuna Askofu Mkuu wa KKKT.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.