Ndg zangu naombeni msaada nina mdogo wangu amepata tatzo la kuvuta hewa chafu ya dawa ya mbu baada ya kupata huduma icu AMEPATWA TATZO LA KUTO ONA KABISA MWENYE KUJUA DAWA ANISAIDIE TAFADHAR
Mambo ya mchezo mchafu wa siasa wanataka tu kumuondoa kwenye ramani ili awe mwanachama wa chama tawala itikadi za chama hizo mambo ya kufikirika kuwa ngoja tuone atakwenda wapi lkn mimi kwa uwezo wangu mdogo kasi ya upinzani inakwenda inapungua wamebaki kulana wao kwa wao
A.aleikhum napata faraja kwakupata hekima zenu za bila choyo mimi mama yangu asumbuliwa sana na sukari ya kupanda hufika mpaka 24 pia bp yake hufika mpaka 240 tulikopita hosp za rufaa zote ni dawa gani za kiarabu atumie
11}ustadhi mzizi tusaidie orodha ya madawa ya kiarabu tunaweza pata wapi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.