Search results

  1. A

    Tuwekeze katika Elimu.

    Wanajukwa salamu! Napenda kuwashauri wazazi na walezi kwa ujumla kuhakikisha mnawekeza kwenye Elimu kwa ajili ya watoto wenu kwa manufaa yao ya badae. Maendeleo yoyote hutokana na Elimu bora. Asanteni. Tukutane Whatsapp 0767462729
  2. A

    Tuwekeze katika Elimu.

    Wanajukwa salamu! Napenda kuwashauri wazazi na walezi kwa ujumla kuhakikisha mnawekeza kwenye Elimu kwa ajili ya watoto wenu kwa manufaa yao ya badae. Maendeleo yoyote hutokana na Elimu bora. Asanteni. Tukutane Whatsapp 0767462729
  3. A

    Tuwekeze katika Elimu

    Wanajukwa salamu! Napenda kuwashauri wazazi na walezi kwa ujumla kuhakikisha mnawekeza kwenye Elimu kwa ajili ya watoto wenu kwa manufaa yao ya badae. Maendeleo yoyote hutokana na Elimu bora. Asanteni. Tukutane Whatsapp 0767462729
  4. A

    Kura Yako Utampa Nani 2015?

    Uchaguzi Mkuu 2015: Nani anastahili kura yako? Ifikapo mwezi Oktoba mwaka huu wa 2015, kila raia wa Tanzania mwenye umri kuanzia miaka 18 na aliyejiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura, atatakiwa kushiriki katika kuwachagua viongozi mbalimbali katika ngazi za Urais, Ubunge na...
  5. A

    Hatutamuogopa Dewji Singida Mjini

    Katika Maisha Yangu Sijawahi Kujidharau, Sitawahi Kujidharau Kamwe. Kuna Watu Wanadhani Dewji Hawezi Kushindwa Ubunge Na Mtu Wa Kawaida. Watu Wanadhani Dewji Kwa Singida Mjini Anakubalika Sana Kiasi Kwamba Watu Waogope Kushindana Naye Kwenye Nafasi Ya Ubunge. Wanaodhani Dewji Hawezi...
  6. A

    Jana nilitangaza rasmi nia yangu ya kugombea ubunge jimbo la Singida Mjini

    Hahahahahahaha! Mnafurahisha kweli. Ndio huru wa mawazo tu.
  7. A

    Jana nilitangaza rasmi nia yangu ya kugombea ubunge jimbo la Singida Mjini

    TAARIFA YA NDG MUTTA, Anselimi KWA WANASINGIDA NA WATANZANIA KWA UJUMLA. Ndg, waandishi wa habari mliohudhuria hapa, ndg. Viongozi wa chama wa ngazi mbali mbali mlioko hapa, ndg wageni wote mabibi na mabwana. Karibu katika mkutano wangu huu leo tarehe 6.4.2015 ambao una agenda mbili tu...
  8. A

    Taarifa ya Baraza la CHADEMA mkoa wa Singida kwa Umma

    CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO OFISI YA MKOA S.L.P 345 SINGIDA 25/ 06 /2014. TAARIFA RASMI YA CHAMA MKOA WA SINGIDA KUHUSU UPOTOSHAJI WA HABARI ZILIZOTOLEWA NA WATU WANAOJIITA VIONGOZI WA CHADEMA TOKA SINGIDA Ndugu, waandishi wa habari kama ilivyotangazwa tarehe...
  9. A

    Yanayojiri Bungeni Dodoma leo March 08, 2014

    Sijui kama tutapata katiba mpya!
  10. A

    Dr Slaa Awafunda Polisi Iringa, Wafundika

    Ni kiongozi anayetegemewa na taifa na ulimwengu kwa ujumla.
  11. A

    Zitto bado ruzuku ya ubunge inaingia CHADEMA?

    Mwambie aende Kalenga.
  12. A

    Dr Kitila aliyatabiri haya; Uchaguzi mdogo janga CHADEMA

    Hakuna utafiti hapo. Labda useme tu kuwa aliyajua ayasemayo kwa kuwa ni miongoni mwa wahujumu chama na demokrasia yenye nidhamu ya kanuni za taasisi. Mbona haandiki kuhusu kuachishwa uongozi wake Udsm?
  13. A

    Kwa Ukali Dr Kitila Amjibu Ansbert Ngurumo

    unajua ukiachana na mpenzi wako visingizio huwa ni vingi vya kweli na uongo. yaani ujifungie ndani uroge na ukikamatwa useme eti naye huyo huwa ni mchawi! maajabu. zitto alikataa posho za bunge akijua kuwa ana pokea nyingi zaidi za kuhujumu chadema.
  14. A

    mgombea wa ubunge zanzibar kupitia CHADEMA

    Mnataka mmjue ili mmwagie tindikali?
  15. A

    Revocatus Babeiya: Mwenyekiti wa UVCCM Wilaya ya Missenye na Mwalimu wa Shule ya Serikali!

    sio huko tu hata hapa Singida mwenyekiti wa UVCCM MKOA BWANA LISSU ni mwalimu wa sekondari, KATIBU MWENEZI WA MKOA NI MWALIMU WA SEKONDARI ILA KWA SASA AMEHAMISHIWA KITUO CHA WALIMU NYERERE, KUNA MWINGINE ANAITWA KUNDYA NI MWALIMU WA SEKONDARI NA NI MJUMBE WA UVCCM MKOA. MKUU WA CHUO KIKUU HURIA...
  16. A

    Wadau wa elimu tuliangalie hili kwa jicho pevu.

    Ndugu Watanzania nawasalimu. Leo naomba tubadilishane uzoefu juu ya utaratibu wa uendeshaji wa vyuo vyetu mbali mbali hapa nchini kwetu. Kwa leo nitaangazia chuo cha TIA (TANZANIA INSTITUTE OF ACCOUNTANCY) Kwanza nawapongeza walimu na wsimamizi wote wanaohusika na...
  17. A

    Utatuzi wake ni wa kisiasa tu kwani serikali ndiyo inayopaswa kutoa miongozo.

    Ndugu Watanzania nawasalimu. Leo naomba tubadilishane uzoefu juu ya utaratibu wa uendeshaji wa vyuo vyetu mbali mbali hapa nchini kwetu. Kwa leo nitaangazia chuo cha TIA (TANZANIA INSTITUTE OF ACCOUNTANCY) Kwanza nawapongeza walimu na wsimamizi wote wanaohusika na uendeshaji wa...
Back
Top Bottom