Naona Kikeke au Kitenge akipewa nafasi ya usemaji ila hasa hasa anaweza kupewa Kitenge kwa sababu amesimama sanana udhalimu wa Liliondo akifanya coveragw kubwa sana kuwafunika wauaji.
Nimekaa pale
kwa hio Mkenda haamini vyuo vyao vilivyofundisha waalimu?
hata elimu yake inabidi tuwe na wasi wasi nao kama anaanza kuleta figisu tu ili watoto wa maskini wasipate ajira
kiufupiu hii mitihani ni ulaji wao , wanatafuta kila mbinu ya kula pesa ya mlala hoi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.