WAKATI Tanzania kupitia Waziri wake wa Elimu miaka kadhaa iliyopita, aliyetokea Chama cha Mapinduzi ilipiga marufuku riadha na michezo mingine mashuleni hivi leo Jamaica kwa kuendeleza michezo mashuleni imewika na kuwakawaka kila pembe ya dunia.
Nchi ndogo na isiyojulikana imefanya makubwa...
TAZAMA MFANO HUU hapa chini:
HIVI kweli hii minara ya simu na njia nyinginezo za mawasiliano ilipokuwa ikijengwa huko Manzese, Kigogo, Kariakoo na sehemu nyingine za walalahoi Baraza la Mazingira nchini halikuona umuhimu wa kutafiti na kuzuia ujenzi wake ili kulinda afya za walalahoi...
AMANI na mshikamano uliopo Tanzania hivi sasa vipo kaika hatari ya
kuuzwa na kisha Watanzania kununua migogoro, kutokusikilizana na hata
vita vya wenyewe kwa wenyewe.
Dalili zote za uwezekano wa hilo zipo na hasa ukizingatia yale
yaliyotokea Amerika ya Kusini na kati au Latin Amerika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.