Mkuu Dodoma mjini kuna Guest houses na lodges nyingi sana tena sana, na zinajaa mapema.
Sema nyingi ni low standard za 20 - 25k, chache ndio zinaenda juu ya hapo, halafu cha ajabu sasa hizo za juu ndio zinawahi kujaa.
Za vichochoroni za 10-15k ni kama zile za buku 5 Manzese, mbaya kweli kweli...
Heshima kwenu.
Kwa wenyeji wa Dodoma, mgeni nipo hapa. Naomba kufahamiswa namna ya kufika mji mpya wa serikali - Mtumba kutokea maeneo ya Sabasaba hapa, kujua umbali na aina ya usafiri ulio rahisi kufika.
Pia nauliza kama Wizara zote zimehamia hayo maeneo au bado kuna Wizara zinafanyia kazi...
Though wachungaji wa siku hizi ni matapeli, lakini hata angekuwa Mtumishi wa Mungu kwelikweli bado kuna uwezekano wa kuomba jambo na lisitokee vile tunavyotarajia maana Mungu hajibu kwa kufuata matakwa wa mwanadamu, anajibu kwa wakati wake, kwa wakati sahihi, kwa namna anayoona inafaa.
Mfano...
Nenda Bank unayohitaji, kajieleze watakuambia aina za accounts zilizopo, utachagua unayotaka kwa kushauriana na mtoa huduma kulingana na mahitaji/matumizi yako, kisha atakuambia vitu vinavyohitajika ili kufungua, kama kuna kitu utakuwa huna kwa wakati huo mfano ukiambiwa barua au muhuri wa...
Mimi wazo langu ni wapunguze madarasa ya primary level na moja la ordinary level. Kuna mambo mengi tu ya Olevel ni marudio ya walichojifunza Primary level utofauti ni lugha tu. Hayo wachague moja either yafundishwe primary peke yake au Olevel peke yake kuliko kurudia rudia ni kupoteza muda wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.