Habari. Samahani zipo s3 mbili bei ni 300,000 kwa ya silver na 350,000 kwa nyeupe. silver internal memory ni 16 GB na nyeupe 32 GB. zipo katika hali nzuri unarusiwa kuziona kukagua ukiridhika tunafanya biashara. Napatikana kurasini chuo cha uhasibu.
Kwa mwenye kuhitaji anicheki namba 0716651695.
mimi naona ni hizo hizo za TCU sababu kwenye form ile kuna applicant category ambayo kuna form six, foreign certificate etc ambayo inaweza kua tena diploma na wengineo kama wapo
habari wakuu. Nina mdogo wangu aliomba chuo kupitia NACTE asa kwenye hizi second selection walimweka SAUTI MWANZA ambapo selection status alikua SELECTED but confirmation status hadi sasa hivi ni NOT YET na chuo cha SAUTI washatoa majina ya selection ya pili na jina lake halipo. Inakuaje hapo
unachoongelea ni ukweli mtupu na watu wanalizwa sana kuuziwa clone kama original. na siku hizi izo codes sijui *#0*# au *#7353# si kigezo cha kucheki kama simu ni original cha muhimu deal na specification za simu as internal memory na applications nyingine.
Karibu sana mkuu usisite...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.