Wanao kua na heshima katika jamii wanazo ishi inakua vigum kupapatikiwa mfano mzuri nipale unapokutana na mtoto wa kike ambae amevaa mavazi ya kujiheshimu harafu sura yake ikaonyesha hali ya upole na kujiheshimu kama huna mazoea naye inakua vigum sana kumtokea utajiuliza maswali mengi sana hata...
Pole sana kosa ni la wazazo wako ila unaposema kua dini haina nafasi kwenye mapenzi ya kweli insu inakuja mnapoanza uhusiano wenu inawezekana mlikua na imani za kawaida hutokea mtu kubadillika kutoka maisha ya upotofu na mkumludia mungu wake hapo ndipo kimbembe kinaanza ni bora unapoamua...
Hilo ni soma tosha kwa sisi wanaume ambae unaoa mwanamke kwa kufuata pesa zake mwisho wa siku unaabika mbele ya ndugu na jamaa zako mbasha na Gadna ni watu ambyo mapenzi yao yalitawala vyombo vya habari mwisho wa siku wameishia kuaibishwa
Jamani kuna jamaa yangu alikuja kuomba ushauri yeye alioa akaishi na mke wake mwaka mmoja,baadae mke wake akaanza tabia za ajabu ajabu jamaa baada ya kulalamika kwa wazai wa mwanamke mambo anayo fanyiwa na mke wake.
Wazazi wake wakamwambia huyo hamuwazani ngoja tukubadilishie mdogo wake jamaa...
Tatizo wanakumbana na vishawishi vingi inawapelekea kujisahau na kua na nyodo inawapelekea kuogopwa na wanaume wenye nia ya kuoa ila kwa mchepuko ndo mahali pake
Ila inauma sana na usipo kua na subira unaweza kukatisha uhai wa mwanamke ambae anatafuta njia ya. Kuachana ili mgawane mali ambazo umeumiza kichwa kutafuta afu yeye anandaa mazingira ya kugawana ndo mwanzo wa kutumiana Ladi ili mmoja wenu aondoke Duniani mapema amuachie mwenzie
Ukiona demu kama huyo ni mcharuko na anatabia mbaya kama angekua na shida ya pesa angekuambia kiustarabu inaonyesha anatabia mbaya na dharau za kijinga mapenzi ni maamuzi binafsi ila katika hali ya kawaida hakufai
Misikitini hakufundishwi imani za kijinga Binti anafundishwa zaidi kufuata misingi ya uchamungu suala mume mwema binti anatakiwa kumchunguza tabia ya mwanamme atakae taka kumuoa pamoja na kumshirikisha mungu. Uyo alie toa taraka kwa kunyimwa mali hajitambui wajibu wa mwanamme ni kubeba jukumu la...
Hongera sana Zinduna walio wengi tabia tunazo zionyesha kwa wapenzi wetu ni za Bandia nani alie kwisha mwambia mpenzi wake kua analoho mbaya, ni malaya an tabia nyinginezo asilimia kubwa ya ndoa zimepatikana kwa tabia za kuigiza ukuona mwanamke anakuonyesha ubabe wake wakati wa uchumba hana nia...
Mungu huwalipa dhawabu kubwa mwanaume ambae anatongozwa na mwanamke ili azini nae alafu akakataa kuzini ingawa mwanamke nae akitongozwa akakataa hulipwa ila mwanaume hulipwa zaidi mungu akupe moyo wa subira kwani dhambi ya uzinzi ni dhambi nzito sana hasa hasa mke wa mtu au mume wa mtu jamani...
Niwanawake wangapi wanapesa lakini ni chakula cha wenye pesa kumbuka kunawanawake hawana pesa lakini wametulia kwenye ndoa zao binadam tumetofautiana kwa tamaa unaweza kua unamisha magum lakin usidhurum cha mtu na unaweza kua na pesa ukawa mdhurumati mkubwa
Mtu huheshiwa kutokana na nafasi yake ukiwa na pesa watu watakuheshimu kutokana na pesa zako ukiwa na cheo watu wakuheshimu kulingana na cheo chako, ukiwa kiongozi wa dini watu watakuheshimu kulingana na uchamungu wake ukijiheshimu ukiwa mke wa mtu watu watakuheshimu kutokana na kua mke wa mtu...
Kila kitu kina nafasi yake dada yangu ila unapotafuta mtu wa kuishi nae maisha ya ndoa lazima usikulupuke na usiolewe au kuoa ili kutafuta heshima kwa watu olewa kwa kutafuta baraka kutoka kwa alie kuumba. Mungu alivyo tuumba kila jinsia ina umuhimu mkubwa kwa mwenzake ni mara chache mtu kukaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.