Mungu ni Mungu wa haki.siku hizi hawafi wote.anakufa peke yake aliyehusika.mambo yamebadilika.
wanaume,loh! hata uwanyonye macho!!! loh! ni mbwa koko!!!! ogopa sana viumbe visivyoota matiti!!!! ogopa sana!!!
loh! ni hatari!
nashukuru kwa kumuelewesha mdau,ugomvi sio kwenye certificate,bachelor wala masters.mgogoro wao na serikali ulikuwa katika kutoa PHD.MPAKA UCHUNGUZI UFANYIKE.LAKINI NAONA WATU WAMEDANDIA GARI KWA MBELE.wEPESI WA KUSOMA TAARIFA NA WAGUMU WAKUELEWA.WAMEKALIA USHABIKI TU.
sijaelewa watanzania wengi mna vipimo gani kupima hichi chuo ni bora au sio bora.Mtu akiwa na perfomance nzuri haimaanishi kuwa chuo alichosoma kilifundisha sana,ni bidii ya mtu mwenyewe katika kujifunza.kwani waalimu wanakupa percentage ndogo sana ya ufahamu,percentage kubwa unatafuta mwenyewe...
watu wakienda kwenye interview huwa hawatangazi.interview ni kama uchumba.unaoweza kuwashirikisha labda watu wako wa karibu sana,na wakati mwingine hushirikishi mtu,haswa pale ambapo hakuna ulazima.Na sio kuanika habari publicly.ni ushauri tu.ukitaka chukua,ukitaka uache.
It is neither the matter of inferiority complex nor the language barrier.Myself I do not hate kenyans,but to live with them It need so much wisdom.it is very hard,due to the following reasons.these are some of them:
1.If he/she come to your territory,doesn't know his/her limits.he will need to...
dah! umenikumbusha mbali sana.
mimi ilikuwa katika mazingira nisiyoyategemea.nilikuwa na bf ambaye alikuwa ananistress sana.so,nikawa naenda kwa kaka yangu mmoja wa hiari kumuomba advice,wote tulikuwa vijana.akawa ananipa advice mbalimbali.bf alinifanyia vituko vingi sana,mpaka nikaamua kuachana...
ingia kwenye website ya unv utapata informations zote.just goggle UNV itakuletea informations mbalimbali then utachoose unayoitaka.but one of them ni kuwa tayari kufanya kazi kwenye mazingira magumu, na huchagui wapi pa kupangwa,utaenda kokote watakapokupanga.hongera.usiiachie hiyo nafasi, itumie.
ok, mdau.kumbe uliajiriwa kwanza,kwa hiyo tunarudi kwenye point ile ile.hakuna asiyependa kujiajiri,but atleast wengi hutaka kuajiriwa ili apate muda wa kujipanga as well as the starting capital.kwanini hukumaliza chuo na kuanza kujiajiri moja kwa moja,kwa nini kwanza ulingoja upate kazi ya...
hee! nilishakwambia, usijitengenezee format zako za kupata kazi, kila shirika lina taratibu zake,hupendi kufuatilia mwenyewe, unapenda hearsay.ni utaratibu wa chuo kuwa kila anayeitwa kwa interview anapaswa, mark me, hawaongelei kusajili wanafunzi, wanaongelea habari ya tangazo la kazi,bingwa wa...
mnachowaza nyie ni wanawake tu na kunywa kahawa, wakati wakristo wanajitahidi kusoma na kendana na tecchnolojia.mmh! kweli, wenda wazimu si mpaka watembee uchi,unamuua mwenzio kisa umeahidiwa wanawake??????
nimeamini, ukistaajabu ya Musa utaona ya firauni.loh!!!!!!!!
Hebu weka english yako hapo tuione.au ni ile ya "ze..ze..you know...ze"
Vyuo vyote vilivyokomaa vilianza vichanga hivyo hivyo.hata polytecnic ilianza hivyo hivyo mpaka imekuwa full registered.tatizo letu wa TZ tunapenda hear say kupita maelezo,hatupendi challenges.wacha vyuo vikuu vipya...
habari yako mdau wa jf hapo juu.usitake kupata kazi kwa format ulizojiwekea wewe.umeshaambiwa ni chuo kipya.na hakiwezi kujitangaza kama hakiko kwenye procedures za TCU.kama shida yako ni kazi apply,kwani hao TCU ndipo wanaotakiwa kukulipa mshahara.
ndio maana baadhi watanzania mnaendelea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.