Wandugu. Mdogo wangu kachaguliwa kujiunga shule hii ya Missungwi kwa CBG namimi ndio naisikia hii shule. Natafuta contacts zao ili nifuatilie joining instruction na ikiwezekana nijue kabisa kama hii shule inamfaa au laah.
Asante.
Huyu mumeo ana shida either alipita mapito mabaya ama pepo tu limemwingia bila yeye kujua... Wewe ndio mwenye kazi ya kufunga na kuomba ili mwenzi wako apone.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.