Bado siamini kuwa Mhe. Chacha Wangwe ametukoka!!!!!!!!!!!!!
Inauma saaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaana!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Pole nyingi kwa mjane wa marehemu, wanandugu na wananchi wote wenye mapenzi mema.
Mwafrika wa kike,
Ninakubaliana na wewe kwa 100%.
Na ukweli huu ndio unaofanya moyo wangu mdogo kuvunjika kabisa, na kukusudia kufumba macho na masikio yangu ili nisione wala kusikia haya mauzauza.
Im very proud of my country TZ. Nimejaribu kuwa mzalendo kwa nchi yangu mara zote...
Mkandara,
Frustration kama hizi ndizo zinanifanya nikimbie hili baraza. Maana mtu unapata pressure kwa hasira na disappointments pasi na kifani.
Vijana tunajiuliza hivi haya mauzauza yanayoendelea nchini kwetu tunayaona sisi tu, au hata wazee wetu waliobobea katika siasa nao pia wanayaona...
Mkandara,
Nilikuwa nakuja kupost hii news, nikakuta tayari umeshaiweka.
Nilikuwa naongea na wanafamilia huko home, ndio wakaniambia kuwa walikuwa wanaangalia breaking news kuhusu kifo cha Amina.
Sina cha kuandika kwa sasa zaidi ya kusema roho inaniuma sana.
Ninaungana na familia za...
Mimi sipendi sana kushabikia siasa maana sizijui, but post ya Mnyika inasomeka vyema sana. Na pia nakubaliana na Mkandara kwamba its another politaca blander, safari hii toka upinzani.
Mnyika sikiliza mahojiano, na urudi hapa kukata issue.
Hii issue ya bwana Zitto itatusaidia sana vijana...
Jamani wana forum,
Naona hili suala la mambo ya ukabila linataka kutupeteka pabaya sasa.
Ili mjadala huu ulete maana, issues ambazo ziko too personal, na ambazo mchangiaji ama hataki kwa makusudi, au la hana info za kusupport/justify hizo allegetion zake alizopost hapa foramuni naomba...
Mkandara,
Mtikila aliomba ruzuku strategically. Alichokusudia ni kumetega JK akubali ofa hiyo, ili ijustify madai ya upinzani kuwa ameshinda kwa kuiba kura.
Na JK naye akaingia kwenye 18 za Mtikali kwa kukubali hilo deal la ruzuku.
Kazi kwelikweli, msikilize Mtikila vizuri akizungumzia...
Zanaki,
Sasa nimeshaona mbali kabisa kuhusiana na hili sakata.
Ni kweli kwamba ZEK, wapo pale kihalali, na RG ipo mbele yao.
But, ZEK walipata miliki ya kiwanja hicho lini????? Sababu wamejenga pale juzijuzi tu. Wakati RG ilishakuwepo hapo kwa miaka mingi.
Je ZEK walikuwa tayari na...
KM,
Nimesoma hiyo habari hapo juu nakuelewa kwanini Magufuli analalamikiwa kama Magufuli. Kumbe hati ya kiwanja cha RG ilipatikana mwaka jana tu, basi kweli tunao viongozi.
Haihitaji mtu kuwa engineer kujua kwamba sehemu kubwa ya bar ya RG ipo ndani ya hifadhi ya barabara, na hivyo uhalali...
KM,
Asante kwa taarifa moto.
Mwenye macho haambiwi tazama, Magufuli kasema yote hapo juu. Kama mwenye Rose Garden anakibali halali toka wizarani, then wanaotakiwa kujiuzulu/kufukuzwa kazi wapo lukuki.
Hawa madiwani aibu tupu na siasa zao za kukurupuka, za mitaani.
What a shame.
Dua,
Uandishi wa namna hii ndio unawafanya watu wengi waidharau fani hii ya uandishi wa habari, na kuiona kama fani mbadala, kwa maana ya fani nyingine kushindikana.
Kweli, Mhariri mzima wa gazeti la serikali anaweza kuandika habari ambayo wala sio makala, kwa ushabiki mkubwawa namna hiyo...
Kadiri ninavyojua mimi, Rose garden ilianzishwa kama bar isiyorasmi pale ilipo, and by then (10yrs ago) it wasnt a big deal at all.
Mwenye bar anajua kabisa yupo pale isivyo halali. Na ndio maana, licha ya kipato kikubwa kinachopatikana ndani ya bar hii, still hakuna uwekezaji mkubwa...
Nadhani haya mahusiano yanayozidi kati ya TZ na Iran, pamoja na ya Somalia na Ethopia ndio yanapelekea US kuweka kituo cha kijeshi Afrika.
Na mimi kwa upeo wangu huu mdogo, ninaziona kila dalili za balaa hili kumwaga ama kama sio TZ basi popote ndani ya EA, kuhakikisha kuwa TZ tunaendelea...
Wana JF, tuendelee kupiga kelele hapa,kumbe wanasikia tena kwa kasi ile ile waliyoianzisha. Mimi sijali chama, najali maendeleo.
Na pia natoa ari kuwa wana JF tuendelee kuwahimiza waTZ wenzetu wengine kupitia hapa JF japo once a week kwa nia ya kujihabarisha kuhusu yanayojiri nchini kwetu na...
HakiElimu wameitwa kukutana na PM dodoma. Natumai HakiElimu watatumia nafasi hiyo kumuelewesha mpendwa kiongozi wetu kuhusu kazi wazifanyazo na nini mipaka yake ili next time kusiwe na migongano.
I hope pia HakiElimu hawata tetemeka wala kuchemsha kwa kuitwa kwao huko na PM.
Wakumbuke tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.