Anyway wakati wengine walipokuwa wananyanyaswa na vyombo vya Serikali kuwa hawatendi haki , baadhi walikuwa wanatamka kuwa " WAACHWE WANYOOSHWE KWANI WANAIIBIA SERIKALI" na waliyatamka haya baada ya kuaminishwa na WATAWALA, na wengine wakidai " ANAUPIGA MWINGI" hata walipoonywa kuwa hamna...
Yaani haya yalitakiwa kuwa utekelezaji wa msingi toka wakati wa Uhuru sasa mnakuja kuyafanya kwa sasa mnawa brtain wash wasiofahamu|? Halafu mnaita maendeleo, Ujunga Mtupu
Wanaachaje kwa mfano? Ila nakuwa na shaka na ukaribu wa Kiangi na huyu Mtoto wa Mahita, katika namna ya kwamba ukaribu wao, je Kiangi hakuingia kwenye ajira ya polisi wakati wa IGP Mahita akiwa madarakani? na je ni vigezo gani vilitumika kumpandisha mpaka cheo alichonacho cha ACP?
Duh huyu si inasemekana yule DED wa BAHI ndio Bi Mkubwa wake, na nimeona CAG katoa angalizo kwenye hii Wilaya? Au ndio kupigia Debe akiongezewa Tumshahara then atapata HATI safi ya CAG? 😂😂😂😂😇😇😇😇 Ni wazo tu wajumbe
Sio Ndungai abaki huko aliko, maana hata hatuelezwi hali yake, tunasikia tu kavunja kamati yeye hajitokezi, kwa mara ya kwanza simuoni kwenye FONT PAGE ya picha ya uzinduzi wa TRENI YA UMEME.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.