Mkuu Lupweko, pamoja na kwamba umewahi kutoa Kanuni ulizoziweka hapa, Kanuni inayotumika hapo ni ya kwanza (1). Hiyo ya 3 ni kwa maonyo ambayo hayasababishi kusimamishwa...mfano kadi 1 au 2 za njano kwenye michezo tofauti ya hatua za makundi. Kabla ya kulenga kukosoa, elewa kwanza.
Wote, hadi sasa, wana kadi tatu za njano. Ni hawa:
RISK OF SUSPENSION
This table lists all players who are injured, sick and suspended, and those, who are at risk of facing suspension.
Compact
Detailed
Player
Age
Yellow cards
Appearances
Cards/Match
Ronwen Williams
Goalkeeper
32...
Kuanzia mtaani hadi mitandaoni, mechi iliyowajaa midomoni wapenzi na mashabiki wa soka ni ile ya Yanga. Kuna wanaoiamini Yanga na kuona itaibuka kidedea Benjamin Mkapa na hata mwisho wa mechi mbili. Kuna wanaoibeza na kuona imefikia mwisho. Lakini, Yanga ameteka mazungumzo.
Kuanzia wachambuzi...
Maelezo ya aina hii yalipaswa kutolewa na Makonda kama Msemaji wa CCM. Kutolewa na huyo Afisa kunaongeza maswali mengi yanayokosa majibu. Tunatarajia pia, kama maelezo ya Afisa ni ya kweli, CCM kumburuza mahakamani mmiliki wa v8 husika kwa udhalilishaji wa chama chao. Ama sivyo...
Yaani taarifa ndefu lakini haijamtaja mhusika. Kama Wakili, mwanachama wa TLS, nimesikitishwa sana kwa hilo. Hapa lazima kila ovu liwekwe wazi na wahusika kuchukuliwa hatua. Ufisadi upingwe kwa matendo!
Ningeshangaa sana kama usingemtaja Wakili Msomi mwenzangu Tundu A.M. Lissu. Maana wewe na Lissu, Lissu na wewe. Hakukauki mdomoni mwako. Pamoja na porojo na vituko vyako vyote kwake, Lissu amekuzidi kila kitu. Naamini huwa unaona fahari na unapata wachangiaji wa porojo zako ukiwa unamtaja. Bure...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.