Who owned the house?
It should have a plate state "Governor Mansion." This will tell us it is a public house and should never be sold.
Why he has the right to have a pool! Mtei was living on his own house, Rutihinda was living in government house, all other since Rutihinda have been corrupt...
Bring an appraisal professional to estimate the renovation cost and compare it with actual cost. Anything exceed 3% of estimated cost is not accepted.
The problem in Tanzania and Africa is that the government is promoting people until they reach the level of incompetency.
It is time to help...
Utaratibu uwekwe wazi kwa zabuni kwenye magazeti.
Walionunua nyumba za serikali waorodheshe....hii ni kulinda upotoshaji wa hali ya juu.
Serikali ingenufaika kwa kutumia vyombo vya habari kumulika uwizi.
Pia, malipo ya kodi za nyumba yawekwe kuwa mali ya umma ili watu wasaidie kuchambua...
Umaskini wetu ni umaskini wa akili za uongozi. Utumiaji mbaya wa fedha kama wa Balali na Ndulu ni mfano wa jinsi tusivyoweza kutumia fedha kwa busara na kuitwa NCHI MASKINI....Je, hii inawiana na akili za viongozi hawa?
Viongozi wa benki wanahongwa na kuitapeli benki kwa vile BOT siyo binadamu...
Echonza,
Ni kwanini Tanzania ni maskini wakati tuna amani na rasilimali mbalimbali kuliko nchi nyingi za Afrika.
Good governance requires OPEN government and not cheap talk. Sabodo asked and you should expect an answer...not a question.
Nionyeshe vyama vya siasa vya ulaya vinavyomiliki magari...
Kushuka kwa thamani ya fedha kunawiana na rushwa...
Nchi inapokuwa na rushwa na siasa ya udanganyifu inayoliibia taifa rasilimali za dhahabu, almasi, na kadhalika, basi nchi hiyo huwa haina akiba ya taifa
Hii ina maana nchi hupata madeni na fedha hulazimishwa kushuka thamani. Uchomaji wa benki...
Hii aina maana yeyote sasa. Ukweli ni kwamba Panapo matumizi mabaya pamulikwe. Na wahusika wawajibike. Hii tabia ya kiswahili ya kulumba ni ya fikra dhaifu. Jibu swali na siyo kurusha swali kujibu swali.
Watanzania sio mbumbumbu wazungu wa reli. Msema kweli atatunzwa.
Twapika majungu kuwa ukweli njaa.
Freeman alizaliwa mwaka was Uhuru wa Tanzania na hivyo kupewa jina Freeman. Hii haina uhusiano wowote na mapenzi ya kichinichini.
Nyerere alikuwa mwadilifu na asingependa kumpaka Mbowe matope. Mbowe alikuwa kama mfadili was TAA na TANU hivyo angetumia nguvu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.