Search results

  1. mdeesingano

    Msaada wa maoni yenu kwa idea ya Gushit "yakiTz kwa waTz" katika African News Innovation Challenge

    Pole na shughuli. Samahani, Gushit Team tunaomba utusaidie maoni/mawazo yako katika idea yetu ambayo imefanikiwa kuvuka hatua ya kwanza ya African News Innovation Challenge(ANIC) ambao wanataraji kuwapa washindi si chini ya $1.0m. Waandaaji (ANIC) wameweka wazi kwamba wanahitaji idea...
  2. mdeesingano

    Maombi ya maoni yenu kwa idea ya Gushit "yakiTz kwa waTz" katika African News Innovation Challenge

    Pole na shughuli. Samahani, Gushit Team tunaomba utusaidie maoni/mawazo yako katika idea yetu ambayo imefanikiwa kuvuka hatua ya kwanza ya African News Innovation Challenge(ANIC) ambao wanataraji kuwapa washindi si chini ya $1.0m. Waandaaji (ANIC) wameweka wazi kwamba wanahitaji idea...
  3. mdeesingano

    Request for Public Comments by a Tanzanian Web Startup in African News Innovation Challenge

    REQUEST FOR PUBLIC COMMENTS BY A TANZANIAN WEB STARTUP IN AFRICAN NEWS INNOVATION CHALLENGE Gushit is a Tanzanian based contents distribution and engagement startup operated by Jigambe Technologies Limited (JTL) that owns other websites such as TanzaniaKwetu and JigambeAds among others...
  4. mdeesingano

    Duuu, Kumbe Tanzanite ni dawa...

    Hebu pitia hii link How to Heal With Tanzanite | eHow.com uone tulivyobarikiwa kwa rasilimali watanzania... kumbe tanzanite sio kua ni vito tu bali yaweza kuwa dawa...
  5. mdeesingano

    Simu za Kichina

    Kwanini kwenye simu nyingi za kichina kunakua na web browser ila ukijaribu ku-connect internet inagoma!? Kuna mwenye settings za internet kwenye simu za kichina!?
  6. mdeesingano

    Uandishi wa vitabu Tanzania

    Wadau, kama je mtu anataka kutoa tu advertorial magazine taratibu zinakuaje!?
  7. mdeesingano

    Strictly tanzanian websites only

    @tecintz.... You are welcome, tupatie hata kama ni mpya... Tunataka kujua zilipo ili tuongeze local content...
  8. mdeesingano

    Thread maalum ya kuweka Links za michezo za kuangalia Online hususani mpira

    Mmhhh, bandwidth inakua na speed ya maana!? Au utakua unaangalia kwa ku-stack stack!? Buffering kibao!
  9. mdeesingano

    Strictly tanzanian websites only

    I'm looking for STRICTLY TANZANIAN WEBSITES that offers affiliate programs. If you have (or you know) an affiliate program in your website(one owned by a tanzanian or someone living in tanzania) please comment and give us a link directing us to the affiliate program. Thanks.
  10. mdeesingano

    Crack (au serial) ya Dreamweaver CS5.5 for Mac Os X

    Naomba mwenye link ya how to Crack Dreamweaver CS5.5 for Mac Os X ai-paste hapa! Thanks
  11. mdeesingano

    WEBMASTERS : JOOMLA 1.5 inafikia tamati sasa ipo Joomla! 2.5

    Yap, lazima wataweka grace period na pia kutakua na "backward compatibility"... That is, itakua webserver zitakua zinasema requirement is php 4.3 or higher... Nadhani watatoa grace period ili kwamba watu wasiumie sana (ingawa grace yenyewe itakua wao wanaiona kubwa na sisi tunaiona ndogo sana as...
  12. mdeesingano

    eHow inavyosema kuhusu computer programming schools in tanzania

    Sio hvyo tu, kuna vyuo vingi sana tanzania vinafundisha programming, cha kwanza ni university of dar es lakini havijaorodheshwa hapo kwenye hiyo link... Nilitaraji walau some people from hvyo vyou nao wangeweka hata comment kua vyuo vyao navyo vipo!
  13. mdeesingano

    eHow inavyosema kuhusu computer programming schools in tanzania

    Tembelea link hii: http://www.ehow.com/m/list_7169020_computer-programming-courses-tanzania.html Sasa, baada ya kutembelea, vyuo vingine kama UDSM, UCC, MIST, UDOM, etc mpo wapi!? Let's be active!
  14. mdeesingano

    Mtalaam wa website

    Jigambe Technologies | "Empowering Online Presence" try it, you will see!
  15. mdeesingano

    WEBMASTERS : JOOMLA 1.5 inafikia tamati sasa ipo Joomla! 2.5

    I have been going through this... I see some major changes from them, ila naona kama it will soon change again cz they are using php and funny enough is, php will nearly change to version 6.0 from 5.4... Kwa programmers, tunasema: "that's the bad side of technology being too fast"----- kabla...
  16. mdeesingano

    Semina elekezi kwa walimu na wafunzi kuhusu ict

    Mimi nitashiriki kwa nguvu kabisa jijini mbeya... Kinachonibana kwa sasa ni ku nataka mada au muuongozo kua, niwape semina gani vijana hao!? Yaani niwafundishe nini!? Bwana mtazamaji, nikipata watu wanne kama wewe tutakua far sana kwa ICT hapa tanzania! Mi nina ushauri katka hili...
  17. mdeesingano

    Google map . Kwa nn mikoa mingine ya tanzania haiko detailed...?

    Kuna watu wanaitwa content providers, hao ndio walitumiwa na google mwanzo kabisa katika kutengeneza maps zinazotumiwa na google... Walifanya survey kuanzia serikali kuu mpaka serikali za mitaa pamoja na kuhoji wazawa pale ilipobidi... Baada ya kupata vivid proof walifanya data input za hizo...
  18. mdeesingano

    Ninampango wa kuanzisha Blog yaku download mavituzz

    Yap, its great... Namuunga mkono bwana @mtazamaji kwamba Developers wa hapa sio kua hatuna mauwezo bali ni kua tunapata shida kuunganisha development skills na real-life requirements! Your idea is cool, especially if you have great contents kama alivyo issamichuzi (ana contents nzuri ktk...
  19. mdeesingano

    Bloggers, Advertisers na Publishers!

    @mtazamaji... Comment nzuri sana kaka! Naamini profee kakusoma vizuri...
  20. mdeesingano

    Material za kweli kwa wale wanaoanza kujifunza web app development na hata waliobobea

    Katika pita pita zangu njiani nilikutana na nondo za uhakika za "WEB APPLICATIONS DEVELOPMENT" nikaona wandugu niwashirikishe.... Jichukulieni maujuzi tanzania isonge mbele kunako website industry.... http://openclassroom.stanford.edu/MainFolder/CoursePage.php?course=WebApplications...
Back
Top Bottom