Search results

  1. C

    Hatimaye Zimoto kimeeleweka

    Wadau jaribuni kucheki kwenye gazeti la uhuru la leo tar.11.6.2014,naona kama kuna majina yameongezeka.
  2. C

    Kuitwa kazini zimamoto na uokoaji

    Wadau wiki hii lazima watoe,COZ NIMEOTA WATATOA KESHO J.5.SO KAENI MKAO WA KUCHEKA/.........
  3. C

    Sajini na konstebo wa zimamoto updates

    Kuanzia kesho ukae mkao wa kucheka/malizia mwenyewe.........
  4. C

    Immigration na Zimamoto kunani?

    Da! Matumaini ya wiki hii yafifia,labda wiki ijayo.
  5. C

    Zimamoto update

    Wadau SAJINI NA KONSTEBO VP?
  6. C

    Immigration na Zimamoto kunani?

    hapo budget haihusiki,coz paka watangaze nafasi,na idadi ya watu wanaohitajika,ina maana washajua watatekeleza vp! INSHU YA MSINGI NI KUWA WAVUMILIVU,MBONA WAKAGUZI WA ZIMAMOTO WALIKAA MWEZI NA WIKI KARIBIA 2,NDO MAJINA YAKATOKA?
  7. C

    Masajini Zimamoto

    Ya sajini na konstebo bado kiongozi.
  8. C

    Jeshi la Polisi lawatimua mafunzoni Wanafunzi 212 kwa kugushi vyeti

    DUUU! Nasikitika,WANAOTAKIWA KUWAJIBISHWA NI WALE WALIOWAFANYIA USAILI,COZ INAELEKEA KUNA MIANYA YA RUSHWA.PILI WATUMIE MFUMO WA KUTANGAZA NAFASI ZA AJIRA KWENYE VYOMBO VYA HABARI,ILI KILA MTANZANIA MWENYE SIFA AWEZE KU-APPLY.NJIA YA KUWAFUATA WANAFUNZI VYUONI,AU MASHULENI,INATOA MIANYA YA...
  9. C

    Mjadala: Tatizo la kujieleza kwenye usaili wa kazi

    UKIULIZWA ULIPWE SH.NGAPI? USITAJE KIASI.WE SEMA NILIPENI KULINGANA NA TARATIBU,KANUNI,NA SHERIA ZA KAMPUNI/shirika/taasisi YENU.
  10. C

    Zimamoto Updates

    Wakuu nafasi zipi zimetoka?
  11. C

    Zimamoto Updates

    mkuu zimetoka nafasi ktk ngazi gani?
  12. C

    Zimamoto Updates

    Wakuu nafasi zipi zimetoka?
  13. C

    Barua ya kupangiwa kituo cha kazi

    sawa mkuu,ni mawazo tu,anaonekana anaharaka,ndo mana tuliotangulia tunampa alternative.BT CHA MSINGI ANGETAKIWA KUSUBIRIA BARUA YAKE POSTA,COZ ALIPO APPLY ALIAMBATANISHA,P.O.BOX.........
  14. C

    Barua ya kupangiwa kituo cha kazi

    Nenda sehemu uliyopangiwa kazi utakutana na barua yako.ukifika ulizia ofisi za utumishi,kama barua yako imefika.
  15. C

    Tundu Lissu: "CUF ni CCM B!"

    Mtoa hoja unamatatizo,kabla hujatoa hoja yako ungefafanua maana ya neno "ukawa",na tambua huu umoja sio wa chadema na cuf,kwa kifupi viongozi hawa hawako kwa maslahi ya vyama vyao,bali kwa kuitetea katiba ambayo ndo sheria mama,kwa watanzania wote.
  16. C

    Matokeo ya usaili wa zimamoto

    Usiweke tegemeo kubwa,ka vp endelea na michongo mingine.kutokana na idadi kubwa ya watu,itaendelea kubaki kama bahati na sibu.
  17. C

    Aliye na Updates kuhusu JWTZ atujuze

    No data,no research,no right to speak,if you dont have,these its better to keep silence.
  18. C

    Magereza Updates

    acha kuwapa wenzako stress,wadau zikitangazwa mtasikia tu,cha msingi ni kuwa karibu na vyombo vya habari pamoja na mitandao ya kijamii.
  19. C

    Jeshi la zimamoto na uokoji

    Maswali ni ya kawaida kijana be cool.
Back
Top Bottom