hapo budget haihusiki,coz paka watangaze nafasi,na idadi ya watu wanaohitajika,ina maana washajua watatekeleza vp! INSHU YA MSINGI NI KUWA WAVUMILIVU,MBONA WAKAGUZI WA ZIMAMOTO WALIKAA MWEZI NA WIKI KARIBIA 2,NDO MAJINA YAKATOKA?
DUUU! Nasikitika,WANAOTAKIWA KUWAJIBISHWA NI WALE WALIOWAFANYIA USAILI,COZ INAELEKEA KUNA MIANYA YA RUSHWA.PILI WATUMIE MFUMO WA KUTANGAZA NAFASI ZA AJIRA KWENYE VYOMBO VYA HABARI,ILI KILA MTANZANIA MWENYE SIFA AWEZE KU-APPLY.NJIA YA KUWAFUATA WANAFUNZI VYUONI,AU MASHULENI,INATOA MIANYA YA...
sawa mkuu,ni mawazo tu,anaonekana anaharaka,ndo mana tuliotangulia tunampa alternative.BT CHA MSINGI ANGETAKIWA KUSUBIRIA BARUA YAKE POSTA,COZ ALIPO APPLY ALIAMBATANISHA,P.O.BOX.........
Mtoa hoja unamatatizo,kabla hujatoa hoja yako ungefafanua maana ya neno "ukawa",na tambua huu umoja sio wa chadema na cuf,kwa kifupi viongozi hawa hawako kwa maslahi ya vyama vyao,bali kwa kuitetea katiba ambayo ndo sheria mama,kwa watanzania wote.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.