Kwa hiyo unataka kusema uwanga umeacha? Na ndugu zako wameacha ulozi?
Next time akipata mganga mwingine atamwambia unachepuka upewe limbwata uwe Ndondocha....
Endelea kumkumbatia mwanamke mshirikina tu.
Asante... Hadi machozi yamenitoka, kumbe huyu mama ni mafia hivi? Naikumbuka ile siku Ulimboka kaokotwa anapelekwa Muhimbili, nilikuwa naangalia taarifa ya habari kwa kweli niliumia kwa hali aliyokuwa nayo.
Kumbe huyu mwanamama ndo alikuwa behind the scene?
Mola amsamehe....
Kama ni kweli Mungu amsamehe, Nilimpoteza baba yangu kipindi cha Mgomo, Tulipompeleka hospitali tulikuta madaktari wapo kwenye kikao cha mgomo, Mzee hakuchukua muda akafariki.
Am not strong as my Man, kumbuka nilitoka ubavuni mwake.....Hata nifanyeje siwezi shindana naye...I feel protected having him....So marriage is my first priority.....
Alhamdulillahi naolewa next week....
Mwanamke hapangi ataolewa lini, acha kujifariji.
Hata uwe na Uhuru wa fedha kiasi gani mwanaume ndo atapanga lini atakuoa.
So usijipe stress za bure, wewe zidisha tamu, ukimkoleza atakuja kukuoa.
Asante kwa ushauri wako, ila naamini sisi waafrika toka kale hatuna specific place ya kujifunza, popote pale tunapata Elimu (rejea informal education)
Tayari nimeshapewa mafunzo na watu wazima, lakini kumbuka ulimwengu unabadilika, kale si sasa...nimeleta mjadala humu nipate mawazo ya...
Mliochangia wote nawashukuru kwa Elimu mlonipa, mmenipa mengi hasa, sina namna nyingine ya kuonyesha shukrani yangu kwenu zaidi ya kuwaombea Dua Mola awazidishie busara.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.