Habari zenu wana MMU na Jf kwa ujumla!!!!!!
Ni wakati mwingine tumepewa na Mwenyezi Mungu wa kuweza kuiona siku hii ya leo ya tarehe 25 (Siku ya kuzaliwa kwa Mwokozi Yesu Kristo). Sio yakwamba sisi tuu wenye kufuata saana Sheria na Amri za Mungu(watenda mema) ila tuu ni kwa neema zake tumeweza...
Mbona unatangatanga na kubadili maelezo yako mwenyewe?
Hebu soma hapo chini nilipo-bold kwa rangi NYEKUNDU na BLUE halafu u-relate na maelezo yako hapo juu.
Kaa chini na uanze kutunga story nyingine kwa maana hii umekosea kuitunga.
Yaani kutongozwa na mume wa mtu halafu ukakataa ndo kukufanye uhame mji moja kwa zote?
Unaonyesha ulikuwa umemkumbuka na kummiss sana ila ulishtushwa na uamua ambao aliutumia wa kumpa mkewe simu aongee na wewe. Huenda ulidhani ndo wakati wa kumaliza shida zako na mengine ya moyoni ila pole...
Nani kakuambia kuna kitu kinaweza kushindikana ndani ya "Damu Ya Yesu"?.
Damu ya Yesu inavunja na kuharibu hila zote za shetani zilizopangwa juu yako, ikiwa ni pamoja na kufuta na kuondoa mapatano yote yaliyofanya kati yako na mizimu ili kukufanya usiweze kuendelea kimaisha.
Hivyo basi...
Maskini Paloma wa watu mpaka leo sosoliso hajawai kumvukisha boda.
Ila usijali Shemeji yangu nitaongea na Sosoliso angalau hii Christmas ukale bata SOMALIA.
CC: Mpwaa wangu Elli, Mr Rocky, Asprin, BAK na wengine wenye kumfahamu Palo vizuri.
Chakufanya ni wewe uanze kuwa mfano kwake, kwani hata mwalimu akitaka mwanafunzi aelewe vizuri ni lazima atoe mifano mingi ambayo itaweza kumfungua na kumpa mwelekeo mwanafunzi huyo.
Vivyo hivyo kwako, unatakiwa umpe mifano ya jinsi ya ku-care na kubembeleza ili aweze kutambua na kuelewa kwani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.