jamani acheni mashara na wazawa wa sehemu husika, huku kwetu kuna bibi aligoma nyumba yake kuvunjwa kupisha upanuzi wa barabara serikali wakajaribu kutumia nguvu bt hawakuweza kwani nyumba haikubomoka kwa katapila wala tingatinga, mpaka wakamlipa stahik zake ndo nyumba ikabomoka! hivyo kwa...
mh hapa jamani nikukaza but mpaka one day Mungu anajibu, Huna pesa huna kazi, huna mpiga debe huna kazi, hujulikani sehemu husika huna kazi PAMOJA NA VIGEZO VYAKO KUKAMILIKA hii ndio Bongo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.