Aacha kutughasi humu jf,atwache tutoe stress zetu ili maisha yasonge!
And by the way,sijaona mwenye uwezo wa kupindua serikali yake "kwa maneno au maandishi humu jf"!
Kwahyo a-chill na atawale kwa raha zake!
Atuachie tufanye siasa,awaachie wakina Tundu Lissu na akina Bashe wajimwaye mwaye,wawe...
Ninavyojua kuwa ukiprove mahakamani kuwa aliyekuweka ndani(i.e rc,d.c,w.eo,d.ed) kuwa alikuwa nje ya muda wa kazi,na pia alikuweka ndani kinyume na utaratibu,unaruhusiwa kumshitaki mahakamani!ebu tafuta kesi mbalimbali zinazohusu unlawful detention!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.