Uovu ni uovu bila kujali Nani anafanya, awe mtu wa kawaida, au mwenye dhamana fulani eneo fulani iwe Kanisa, masikiti au serikalini, mtu ahukumiwe kwa makosa yake bila kuhusishwa na Imani au wadhifa anaoutumikia, na kama alitenda kosa kwa kutumia hiyo Kofia bado kosa ni la kwake.
Jambo moja nakushari na uzingatie.
Set akili yako siyo kwenye tendo Bali matendo yako, tabia yako inaweza kumshawishi mwanaume kuwa nawe maisha yake yote au kwa huo muda wa siku saba ataoa wewe hutastahili kuwa mama wa watoto wake. Fikiria mbali zaidi kuliko tendo lenyewe maana unaweza kutoa na...
Kwa maoni yangu hapo hakuna namna utaweza kumkwepa. Hata ukisema unaumwa utapelekwa hospital. We kubali tu suala la kuwa mume wako itatokana na muendelezo wa mahusiano yenu. Huwezi kukwepa na ukikwepa jamaa atasema una mtu wako huko ndio maana unamkwepa.
Kama siyo tatizo la afya ya akili basi Kuna kiumbe asiyeshikika amemtembelea na inabidi aombe dua au afanye maombi ya kukemea vitu kama hivyo visijitokeze.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.