Ndugu zangu niwape jambo hili ambalo limenitokea mimi mwenyewe siku kama mbili zimepita, nilikuwa napeleka mzigo kwa mteja sasa kufika kwake nikamkabidhi halafu akanipatia pesa nikaondoka nikiwa bado maeneo yaleyale nikaangalia simu yangu nikagundua mteja alishalipia ule mzigo nadhani alisahau...
Napenda niwataarifu Watanzania kama bado unajiuliza kura yako ya Rais umpe nani basi Magufuli ni chaguo sahihi kabisa kwa kweli miaka hii mitano ametuongoza vzuri kimaendeleo zaid naamini hii ijayo itaweka historia kubwa katika dunia hii lakini pia ni rais pekee Africa aliyepambana kuzuia corona...
Kwa kweli kama siku mbili mfululizo, nilikuwa pale Ocean Road Hospital. Huduma za pale zimenifanya niwapongeze kwa sehemu flani maana nilishindwa kuamini kama ni hospital ya serikali.
Huduma ya kuridhisha kabisa, hata kama una shida wanakusikiliza bila hata rushwa. Mfano nilitakiwa kupewa...
nimeshuhudia kwa macho yangu leo katika ibada viwanja vya sabasaba kwa mchungaji katunzi mtu akitapika pesa shilingi miambili zikiwa mbili toka tumboni,na pia watu wenye maagano na freemasons wakikamatwa katika maombi na kuonyesha ishara zao,wachawi na uchawi wao ,waliorogwa wakianguka chini kwa...
jamani tusaidiane ninahitaji kifaa ambacho nikifunga kwenye nyumbA ya vyumba nane kitaniambia chumba gani kina matumizi makubwa ya umeme kama unakijua kinaitwaje hiko kifaa na kinapatikana wapi na bei yake mi nipo dar karibu na sabasaba maonyesho.
Tumekuwa na matatizo sana nchi za kiafrika kwa kudanganywa na maneno meeengi bila utendaji wakatibwa kampeni.
Leo ngoja nitaje sifa ambazo kiongozi bora anatakiwa awe nazo.
Jambo la kwanza sihitaji rais anayekwenda ulaya kukopa fedha huyu simhitaji kabisa bali aende nje ya nchi kutaka viwanda...
Dada mmoja mitaa ya kwa azizally alifua nguo zake siku moja sasa wakati anaanika akakuta kuna nguo nyingine zimeanikwa akazisogeza kidogo apate nafas ya kuanika baada ya muda akaja mdada mwenye nguo zake akafoka sana na kwa kuwa yule alieanika alikuwa mdogo kwake akamzaba kibao yule dada...
wandugu siku ya jana ilikuwa ya mapito sana kwangu maana juzi nilimtumia ndugu mmoja laki 6 kupitia wakala wa mpesa kariakoo sasa nikamuuliza kama ameipata akanijibu kaipata sasa asubuhi ya jana akanipigia simu kuwa hajaipata hapo ndio kichwa kiliuma maana mtu huyu ni mwaminifu namuamini japo...
Jamani wilaya hii ina majanga ya ajabu sana nianze na walimu ambao mpaka leo hawajapandishwa madaraja wakati Tanzania nzima kimeeleweka kwa sasa nasikia tatizo kubwa ni hawa maafisa utumishi wanachelewesha taarifa kufika wizarani kwa wakati kwa kweli sisi walimu tumechoka na kupunjwa mishahara...
kama kuna binti au kijana ana shida yoyote haelewi pa kuanzianamshauri aje kanisani sabasaba viwanja vya ngorongoro kwa pastor katunzi kila siku saa kumi nimeona kwa machomabinti ambao waligoma.kwenda shule kumbe wametupiwa mapepo wasisome na sasa wamefunguliwa kumbuka maombi ni bure hapa kwa...
Jamani inauma sana yani walimu wa Bagamoyo tuna majanga ya mishahara ni hatari ila cha kushangaza ni Bagamoyo tu kwengine kunaeleweka mfano barua za madaraja zimeandikwa may 2014 wakati walimu wengine mmeanza kazi pamoja wilaya nyingine walishapewa may 2013 manayake mwaka mzma watu wamelamba...
yaliandikwa mengi katika magazeti ya udaku kwa lengo la kumchafua mchungaji katunzi lakini mahakama imethibitisha kwamba yuko sahihi kusimamia mali za marehemu mzee kulola kwa kuwa marehemu mwenyewe aliaguza hivyo kwa maandishi akiwa na mkewe na mashahidi wengine akiwemo wakili wa marehemu mzee...
siku ya tarehe 14/1/2014 nimeibiwa fekon pikpk yenye namba t 228cky maeneo ya kwa aziz ally karib na mtongani msaada wenu ktk kuitafta nambayangu 0717215506
Kuna kampuni moja ipo hapa Dar cjui kama mikoani ipo,wana mbinu chafu wanajifanya wanakujengea nyunba kwa mkopo kama una kiwanja.
Ukikubali wanakwambia kwanza tujenge mahusiano ya mkopo kwa kuchukua mkopo mdogo tu kama laki5,
Ndugu ukikubali huo mkopo marejesho yake hawasemi vizuri lakini...
Jamani wana jamii mimi nina ujuzi wa kutengeneza sabuni ainazote na shampoo,mishumaa na vingine kwa sasa nataka kujikita na sabuni na shampoo,sasa nipo busy na kazi nyingine nahitaji mtu aliye tayari tufanye kazi tutafte soko halafu tunagawana kinachopatikana kwa makubaliana karibuni nipo daslam...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.