Ni uchambuzi mzuri sana Jk huwa hafikirii huwa anatekeleza kile anachotakiwa kukifanya
Washauri wake wote ni wanamkakati waliowekwa kwa maslahi ya watu flan ndio maana vikimshinda anakimbilia kusema nimeshauriwa vibaya.
Kwa kifupi huu ni mwanga sana kwa wale ambao wapo njia panda hasa kwenye maswala ya kiimani wengi walikua wanaamini kama wewe sio muumini wa dini tulizorisishwa na wazazi wetu,huwezi kua na imani
Kuna maswali mengi ya kujiuliza juu ya Mlipuko wa Bomu na uvyatuaji wa Risasi kwenye Mkutano wa kufunga Kampeni za Udiwani wa Chadema,Ninachokiona ni watu kujadili yale ambayo yanazungumzwa na wanasiasa ambao kauli zao nyingi zina Utata ama zinaegemea Vyama vyao.
Pia kumekua na Matamko mbali...
Kuna maswali mengi ya kujiuliza juu ya Mlipuko wa Bomu na uvyatuaji wa Risasi kwenye Mkutano wa kufunga Kampeni za Udiwani wa Chadema,Ninachokiona ni watu kujadili yale ambayo yanazungumzwa na wanasiasa ambao kauli zao nyingi zina Utata ama zinaegemea Vyama vyao.
Pia kumekua na Matamko mbali...
Mi Nadhani Sio sahihi kuwaongezea Grades hao watoto waliofeli,ni kama kufunika Kombe huko mbeleni itakuwaje ?Na waliochora Zombe watapewa Grade gani
Nadhani Kama wangekua na nia ya kuwasaidi wangewaandalia mchakato wa kurudia masomo Kama alivyofanya Tibaijuka jimboni kwake sio kupitisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.