MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA NI NDOTO MFANYAKAZI WA BONGO
Nawasalimu wote mnaoanza kusoma ujumbe huu. Salamu za kipekee zimfikie rais wetu mpendwa Dr. John Pombe Magufuli kwa juhudi zake anazozifany katika kupambana na ufisadi na kupigania maendeleo ya mtanzania na kuja na kauli ya maisha...
Dini yoyote duniani ina kazi ya kuhubiri amani na uchumi kwa waumini wake. Kwa nini?
1. Kila mtu anahitaji afya ya mwili ili aweze kujenga uchumi na afya ya roho. Bila uchumi imara waumini watakuwa wanalia njaa na hawataweza kuhudhuria nyumba za ibada ama kusikiliza mahubiri ya kiroho wakati...
Hii siyo sahihi kwani huwezi ukawa unajibu chochote kinachoandikwa na mwandishi yoyote wa habari. Kama ni Taasisi yoyote ingekuwa imetoa sawa lakini mtu binafsi kwa kujisikia kwake kuandika alichoona kinafaa kuandika huwezi kumjibu
Thread poa ongezea na ya huyu mama Mkenya
Stress Management (DR.Roseline Odede)
How to Reduce, Prevent, and Cope with Stress
If you’re living with high levels of stress, you’re putting your entire well-being at risk. Stress wreaks havoc on your emotional equilibrium, as well as your...
Wakati mwingine tuwe tunatumia busara tunapo-post mawazo yetu huku. Naamini hii Forum wengi ni wasomi wa kutosha na anlytical. Umeambiwa kuwa aliaga kwa ndugu zake kuwa anaenda kufuatilia deni lake. Kwa nini usianze kuuliza kama alimtajajina aliyekuwa anamdai au kwa nini usijiulize kama na yeye...
Wakazi wa Dar wenye shughuli ya klueleweka ni wachache sana hivyo hili zoezi halitawezekana. Hebu fikiria mhudumu wa bar anahama hata bar 5 kwa mwaka, mmachinga hana makazi ya kudumu. Hawa atawapatiaje kadi? Au atakuwa anawalipia mwenyewe.
Huo ni ushirikina kabisa. Jamani acheni kwenda kwa waganga wa kienyeji nendeni misikitini na makanisani. Waganga watamaliza hela zako na baadaye unaishia jela
TYK. Kimsingi kanisa katoliki zamani lilikuwa na wafadhiki wengi hivyo wauumini walikuwa watoi michango na mambo yalikuwa yanaenda vizuri. Kwa sasa hivi hakuna tena wafadhili hivyo ni jukumu la waumini kuchangia kanisa ili yale yaliyokuwa yakifanywa yaendelee kufanyika. Ila hilo la kumtenga mtu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.