kasake 7000 huko usituchoshe mshamba wew ya ACT umejuaje wakati haumo ndani yake kwanza ndio inaanza unasema chama makini. Mbulula wewe kanywe boha mshamba wewe.
Sitta na wote wanaomuunga mkono humu ni kama ngombe anayenyea uchi wake halafu aanze kulinda nzi kwa mkia wake. Sita alijua ameshakuwa Raisi kwa cheo kile kalewa madaraka.
Kweli nimeamini mbwa umpe hata nn mavi atakula na vyombo ukiacha hovyo atalamba. Umeona hao waliokimbilia kuchangia uzi huu ni kama mnyama huyo maana CCM na madudu yote ila hawaoni wanatofauti gani na mbwa au nguruwe alioshwa akendazama matopeni? Pumbavu
Kama busara kama hizi wataziita upuuzi basi hapa ndipo maandiko yatakapotimia kuwa MUNGU AKAUFANYA MGUMU MOYO WA KIKWETE NA WANACCM ILI AJITUKUZE JUU YA TANZANIA. Hivi kwann raisi hana washauri wenye Busara kama hizi?
Ndugu wanazuoni na wanajf kwa ujumla napenda kuwasalimu kwajina la Yesu kwa wale wakristu wale wenzangu waislam niwatakie Ramadhan Kareem.
Ndugu zangu pamoja na vitu vingi vinavyonitatiza kuhusu Tanzania kubwa ni hili la kujiuliza ni wapi tulipoangukia kiuchumi mpaka leo miaka 53 ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.