ijumaa ijayo NCCR nao waende kuonja maji ya ikulu kisha wanaharakati nao waelekeee huko wakanywe juice ya ikulu halafu wananchi tuamue wenyewe hatutaki mtu wa kukaa bele yetu
Tujifunze kuwa na subira hizo ni tuhuma tuchangie zaidi asimamishwe nafasi ya uwaziri halafu tupime matokeo ya ripoti ya uchunguzi ndipo tuanze kusema kwa mujibu wa matokeo ya uchunguzi uchunguzi uliofanyika
1. Kwa sababu mikoa mingine haina mawaziri
2. Inategemea umakini unaupima kwa vigezo vipi?, kuonekana kwenye vyombo vya habari mara nyingi, kupenda kuonekana kama unafanya kazi bila kuangalia athari ya matendo yako yaani kuamua kufanya bila kupima Faida na hasara
3. Kwasababu...
Tunapozungumzia maendeleo ya taifa lolote lazima kwanza lifanye mapinduzi kwenye viwanda, lakini huwezi kuwa na viwanda bila ya kuwa na umeme Endelevu(sustainable) hivyo basi kwa kuwa viongozi wetu hawako tayari kuleta maendeleo kwa wananchi wake wao wanadhani maendeleo ni kutuongezea majengo ya...
Haki ya kupiga
kura
Sheria ya 1984
Na.15 ib.6
Sheria ya 2000
Na.3 ib.4
5.-(1) Kila raia wa Tanzania aliyetimiza umri wa miaka
kumi na minane anayo haki ya kupiga kura katika uchaguzi
unaofaywa Tanzania na wananchi. Na haki hii itatumiwa kwa
kufuata masharti ya ibara ndogo ya (2) pamoja na...
Bwana Mjengwa hii ndio Nchi yetu tumezoea kutoa majibu mepesi kwa maswali magumu, kwa kweli ni aibu ukilinganisha utashi wa kisiasa uliojitokeza kuijenga UDOM kwa speed ya LIGHT na kuiacha UDSM ikienda kwa speed ya 24kbs, hapo tatizo ni wanasiasa kutafuta cheap popularity tu kwani wanaamini kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.