ACT nani asiyewajua kwamba mlichangia damu kwa waganga wankienyeji...haya si maneno yangu ila Mtela aliwahi kusema mliapishwa na kuchanjiana damu....hatutaki vijana wanaoamini ushirikina mnaweza kututoa kafara nyie ACT
Ni kweli yuko smart sana kucheza na akili za wananchi....msaliti hatasahaulika kwenye medani ya siasa kwa unafki wake kwa wananchi. Bravooo Zitto Kabwe
Watu wenye dini zao si wajianzishie wenyewe mahakama? Kama vile taasisi za kikatoliki zinaanzisha masuala yao ya kidini kwa pesa zao na kufuata taratibu za dini yao. Mahakama ya kadhi can do the same!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.