Duh!!! kazi ipo kweli kuelimisha jamii. nchi nyingine raia wao wanapiga kura japokuwa hawapo inchini mwao je hawareflect jamii yao? Hivi unaweza kusema hivyo kweli kipindi hichi cha utandawazi?
Sherehe ilkuwa ni ya kupongeza wabunge , haihusiani na hotuba ya Raisi bungeni. Shibuda pia alikwenda kuwaringishia CCM kwamba pamoja na kunichakachua kwenye kura za maoni na kutaka kunimaliza kisiasa bado nipo mjengoni.
Kweli mijiongozi ya CCM yote mijizi halafu inajidai ati Wapiganaji? Bila shaka wameshajua kwamba watashindwa vibaya uchaguzi huu na kinachofanyika sasa ni jinsi gani watakavyo chakachua Kumtangaza Jambazi wao mkuu kwani wasipofanya hivyo itawabidi wawe wakimbizi. Lakini nawambia kwamba majasho...
nikumwacha tu hajui alitendalo,inaonyesha issue zake zinayumba akibwabwaja hata kama ni ujinga wakuu watampa mshiko hata kama ni vijisenti.uhuru wa Mtanzania bado,hakuna uzalendo,waheshimiwa wanajali issue zao na familia zao,sijui kitaelweka lini
Hii inamaanisha mafisadi wanaelekea kushinda au ndo mazingaumbwe?ndo maana nilisema kuiondoa sisi em ni mpaka nanihii,ila watanzania wakielimika na kupata uhuru wa habari ndipo kitaeleweka.Watanzania wangapi wana internet access? ,parcent kubwa ya Watanzani kila kukicha afadhali ya jana,looking...
holalaaa!!!hata mimi nathani kuna chitu haiwezekani leo mtu hajafa mnakuwa negative nae then akifa positive ,it means leo mnapigana na mafisadi theni mkikamata usukani nanyi mtakuwa mafisadi?mh!! in dillema
confused,kweli mtu akifariki hata kama alikuwa adui yako utasema siyo ,dont understand the late wangwe ndiyo yule aliyekuwa anapigwa vijembe anataka kuisambaratisha chadema kama NCCR ilivyosambaratishwa then watu haohao leo mko positive naye kwamba alikuwa mpiganaji wa upinzani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.