Hakuna ukweli wowote kwa hoja hii... Suala la ufisadi ni agenda ya CHADEMA. Lakini pia ndani ya ccm hakuna aliyemsafi Kiongozi wako mmoja aliwahi kusema kauli hii hadharani..
Kama ni kweli unachosema kuhusu Lowasa mbona kuna mahakama ya mafisadi imeazishwa na hawajampeleka kumshitaki huko...
We sasa ninawasawasi nawe kama ulitumwa ili ukipata ukivuruge Chama imekula kwako...
1. Kama madai unayosema ni ya kweli kwanini unatumia nguvu sana kuandika kwenye mitandandao wakati kuna proper way unaijua unaweza kutumia?
2. Mbona ulipoitwa na kamati kuu uliambiwa kuhusu uamuzi huu na...
The president Kenyatta really you know well the African politics not like hii kitu inaitwaga Maguli and kama ingetokea hapa Tanzania am telling huyu angeburuzwa kwa polisi km mtoto mdogo na angewa analindwa na silaha zitozito km gaidi vile...
NAKUSAHURI USOME KWA MAKINI SANA UJUMBE HUU UNA MAANA KUBWA SANA....
SIKU FERDINAND MARCOS ALIPOKUFA ILIKUWA SHEREHE YA KIHISTORIA NCHINI UFILIPINO.
Na Luqman Mloto.
Enzi nikisoma shule ya msingi, naikumbuka Kiezya Shule ya Msingi, asubuhi kwenye mchakamchaka tuliimba: “Idi Amin akifa, mimi...
Watoto Wa Lumumba njaa zitawaua lakini ni kweli mnafanya hivi kwani msipofanya hampati hizo elfu 7 kwa ajili ya sikukuu... Ila muogopeni na Mungu kidogo maana hata kama mmeamua kuwa watimishi bora kwa hao waume zenu CCM basi mjitahidi kuwa wapole kidogo maana kumbukeni kila mtu atabeba mzigo wake.
Sasa hivi wanahanya hawana namna Mange anawahesha hatari wanatamani hata kumuua ila huko alipo tofauti na hapa wanapoua watu na kuwatupa mitoni na kusema ni wahamiaji haramu... Ebo kumbe wahamiaji haramu hawapaswi kuishi???
Tunaposema Magufuli dictator mnatakiwa kuelewa hiki kinachofanywa na John Pombe Magufuli ni uhuni na ukiukwaji mkubwa Wa haki za binadamu na haki lukuki zilizoainishwa na katiba. Ila akae akijua urais una mwisho na Siku akiacha madaraka ataishiwa kulaaniwa na hatakuwa na maisha marefu
Kama haujui ungesema tukueleweshe. HV unafahamu shule za kata wanakosoma wale wadogo zako Wa kule kijijini uliasisiwa na nani; mradi mkubwa ule uliazwa na nani??? We kweli mpuuzi hivi hujiulizi hao unaosema wako wapi? Na huyo Lowasa unayesema yupo wapi kisiasa?
Kwani kuna haja gani ya kuzungumzia Chadema wakati una chama chako ? Hebu kajenge chako. Suala la Lowassa liko wazi kwmba alifanyiwa zengwe tu na nsp maana watasema mengine lakini huwa hawasemi kwa ufisadi.
Kwa taarifa yako baba yako magufuli amezuia mikutano ya hadhara ni sababu ya Lowasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.