Nafikiri tatizo liko kwa waalimu,waalimu walio wengi hufundisha vizuri lakini wanasahau kuwafundisha wanafunzi namna ya kujibu mitihani kwani sio kila anayefeli hajui na hajaxoma tatizo ni namna ananyoelewa swali na anavyojibu mtihani ndio pia inachangia utokaji wa majibu baada ya usahihishwaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.