Una matatizo ya akili nadhani. Mbowe alichofanya ni kuhabarisha Umma kujua wawakilishi wetu wanaishije huko Bungeni. Kuna shida gani wewe na wengine kupata hiyo taarifa?! Kama taarifa imekuuma ndo uwauliza hao waliojiongezea. Shida iko wapi?
Wewe ni pumbavu! Alipokuwa CWT akishirikiana na watawala kuwatumia Waalimu kwa maslahi yenu mbona ulikuwa kimya?! Akiwa CWT anakuwa MTz Ila akiingia CDM anakuwa Mganda?
Ngoja ufike 60s utaomba ujengewe Choo cha kukaa haraka sana. Vinginevyo andaa ndoo au stuli iliyotobolewa katikati ili uendelee kutumia hicho Choo chako cha shimo😡😡
Familia? Akina Biteko na Kassim Majaliwa ni mabinamu kwenye familia hiyo?! Acheni utani. Shigella ni mwanafamilia ya wapi?!
Hatutaki double standards, kama wengine wanaonekana hawastahili kumbukizi tujulishwe. Wote waliitumikia nchi hii equally.
Hii kundi lisilojiweka wazi ambalo linaandaaga kimyakimya kumbukizi ya Magufuli kila mwaka hadi kuratibu Misa takatifu ni ushahidi tosha kuwa kuna kundi linam-outsmart SSH by far huku likisubiri muda wao ufike.
Alifariki Mkapa lakini hata siku moja hatujawahi kusikia kumbukizi ya kifo chake...
Una evidence ya write up ya Serikali ya Tanzania kuomba msaada wa chakula kulisha hizo shule au ni janjajanja ya NGOs kushirikiana na US Dept of Agriculture kwa maslahi yao?! Wakitumia loopholes ya viongozi crooks hapa nchini? Watoto wetu wasitumike kama objects za kutajirisha wenye NGOs na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.