Sasa wewe unaambiwa mtu kaanguka kwenye ngazi za hoteli! Mambo ya sheria za barabarani, mwendo mkali na magari mabovu yametoka wapi? si utumie muda kidogo tu kusoma thread mpaka uimalize?
Sasa wewe unatuambia kuwa amedanganya, wakati kwenye jedwali lako halisemi hiyo taarifa ni ya mwaka gani. kwako ina maana yesterday ni lazima iwe jana. Hebu tupe time range ya hiyo study.
mkoni pwani ni wapi tena huko? na ndiyo makao makuu ya OUT?
Na hapa ni wapi?
Contact Us
General Address:
The Open University of Tanzania,
Kawawa Road, Kinondoni Municipality,
P.O. Box 23409,
Dar Es Salaam, Tanzania.
Fax:
+255 (0) 22-2668759.
Telephone:
+255 (0) 22-2668992,
+255 (0)...
Namkumbuka sana huyu mama baada ya uchaguzi wa mwaka 2000 tulitimuliwa chuoni wote, then ndio tukarudishwa kwa masharti ya kujaza loan form, huyu mama alitutesa sana, wewe mtu ametokea kigoma mama anamwambia alete barua ya balozi wa nyumba 10. Let her RIP
Hey always what you see is what you get and if you want to andstand someone judge what he says.our finance minister is good but something to much care is peformance and his accountability to work to meets international levels bcz he has been given higher duties and responsibilities.dont judge...
To go to school is another thing and to be educated is another thing.tanzania wasomi wana elimu na cv za kutisha ila hawana maarifa.ni kama huyo minister.wa finance.ERICK(UDSM)
Kwa mtazamo wangu ni kwamba tukitaka kuzuia mfumuko wa bei ni lazima serikali ianzishe vyanzo vingi vya mapato ili isitegemee tu kodi kutoka kwa wafanya biashara na mashirika binafsi ambayo ndiyo yanayopandisha bei za bidhaa ili kumudu gharama za uendeshaji pamoja na kodi.Pia tukuze uzalishaji...
Siku hizi hamna shida, division III mbona university unatinga kama kawaida. Enzi zetu ukiwa na III ujue tu ni Diploma ya Ualimu Marangu na vyuo vingine tena unaona umepata bonge la course.
nadhani akina Boby walimdanganya na kazi pale gymkhana ya hapa Arusha kama manager, ndio maana akaamua kurudi kwa magamba. Kuna siku nilienda kufanya kazi fulani pale nikamkuta pale namshukuru alinipa ushirikiano mzuri tu. nadhani kwenye usinii haikufa fani yake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.