Anyway, let's not make the issue too broad.
Fundi mchundo hapo juu kasema kweli, Redundancy!!!!
Kuendesha system kama hiyo kwa kutegemea ups moja ni aibu. Technical staff should have foreseen it!!
Anyway, let's not make the issue too broad.
Fundi mchundo hapo juu kasema kweli, Redundancy!!!!
Kuendesha system kama hiyo kwa kutegemea ups moja ni aibu. Technical staff should have foreseen it!!
Mh. Congo
Kinachotatiza ni kwamba, ina maana cost za kuandaa mechi zilikuwa underestimated au mapato yalikuwa overestimated?
Ninadhani TFF walipaswa kufanya analysis nzuri zaidi kuhusiana na hiyo mechi. Michezo ya namna hiyo sio endelevu kabisaa!
Picha ninayopata ni kwamba, safu ya...
Mh. Bishanga. Whether aliyoyasema ni kweli au sio kuna mambo ya muhimu hapa:
1. Raisi siyo msemaji mkuu wa serikali, tunataka afanye maamuzi.
- Kuhusiana na epa riport ya wakaguzi aliipata siku nyingi, mpaka leo hakuna uamuzi! By the way maamuzi yenyewe hayako within his will, kama ukaguzi...
Well, man hicho kitu kipo.
Actually, ni combination ya vitu vingi sana kama uwezo wa kukumbuka, lugha, hesabu (za fastafasta), graphics, utambuzi nakazalika.
Kwa kawaida mtu anaweza kuwa na iq kubwa katika jambo fulani lakini akawa mchovu kabisa kwa mengine.
Imagine, shaaban robert au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.