CCM imebakia tanga na wilaya zake zote hasa huko lushoto....cjui hawa wasambaa watatoka usingizini lini jamani...inasikitisha sana...wangekua hata serious basi wachague hata wabunge wenye uelewa haohao wa ccm atleast ingewasaidia....wabunge wenyewe ni mizigo tu bungeni....
Maofisa wa Jeshi la Polisi, waliokuwa na mbwa, mabomu ya machozi na silaha nyingine za moto, usiku wa kuamkia jana waliruka ukuta na kuingia katika eneo la makazi ya Mbunge wa Arusha Mjini (Chadema), Godbless Lema ambako walizingira nyumba yake kwa zaidi ya saa nne.
Operesheni ya kutiwa...
Chama Cha Wananchi (CUF), kimesema vurugu zinazoendelea bungeni zinasababishwa na Kambi Rasmi ya Upinzani inayoongozwa na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, kushindwa kujenga hoja na mbinu za kuwabana wabunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Akizungumza...
sasa dada yangu inategemea hiyo fibroid iko sehemu gani kwenye kizazi chako,kwani zipo fibroid za aina tatu;Zipo zinazokaa kwenye ukuta wa nje wa kizazi,zipo zinazokaa ndani ya misuli ya kizazi na zipo zinazokaa ndani mwa kizazi chenyewe ambako ndipo mtoto hukaa na kukua .Sasa kuwa na fibroid...
KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa amefafanua kauli yake, kwa kutaja sababu kadhaa ambazo zitasababisha nchi isitawalike kama alivyowahi kuonya.
Mwaka juzi, Dk. Slaa alimtaka Rais Jakaya Kikwete kuwa makini na kuchukua hatua za haraka kurejesha...
"Tuna taarifa kuwa bidhaa za ‘Go Woman' na ‘Go Man' zimesajiliwa na ni salama,"
ETI TFDA wana taarifa,kinachohitajika sio taarifa ila ni uhakiki wa hizo dawa na waache .......ge
HASARA,
kuna uwezekano mkubwa sana wa kupata premature ejaculation during sexual intercourse,wakati mwingine kichwa cha penis kinaweza kupoteza sensitivity yake na mtu akachelewa ku ejaculate kwani mkono hauna mucous membrane ukilinganisha na vagina wall with alot of soft mucous membrane,pia...
Mtindo wa maisha, ulaji na msongo wa mawazo, vimewasababishia Watanzani wengi maradhi lukuki hata vifo.
Hata hivyo, wataalamu wa afya kutoka Afrika Kusini wamekuja na dawa maalumu, zilizo na uwezo wa kurudisha kumbukumbu, kuongeza upeo darasani, kuondoa sumu mwilini na kumfanya mzee kuonekana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.