Search results

  1. K

    Dkt. Slaa afunguka mazito kuhusu hila za Dola na Polisi dhidi ya CHADEMA

    Yes anagalizo ni muhimu sana, pia ameongea vya msingi sana kwa ambao hatuyajui Sent using Jamii Forums mobile app
  2. K

    Sina uhakika

    Nilifanya mapenzi na mwanamke,ila kwenye process sijui kilichotoka ni sperm kidogo au semen. Wakati huo nikiwa chini mwanamke juu lakn baadaye sana nika P. Je hata kama zilitoka kidogo ni kwa kiwango gani naweza kusababisha mimba nikiwa chini(japo sina uhakika ni soerm au semen).
  3. K

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    244C5B9 Sent from my CPH1911 using JamiiForums mobile app
  4. K

    Mwenye kujua simu ya Oppo f11 nikitaka kurecord call nafanyaje

    Ok. Kwa hiyo niwe mpole tu kwenye simu yangu haipo
  5. K

    Mwenye kujua simu ya Oppo f11 nikitaka kurecord call nafanyaje

    Mwenye kujua simu ya Oppo f11 nikitaka kurecord call nafanyaje. Kwa simu zingine ukitaka kurecord oncoming na outgoing calls unapaona kwenye keyboard. Oppo f11 hapaonekani. Help pls
  6. K

    KISUTU: Jamhuri kuleta mashahidi 24, vielelezo 19 kesi ya Mbowe na wenzake

    Unaukumbuka ule ushahidi wa Lwakatare?.
  7. K

    John Heche anafaa kuwa Katibu Mkuu CHADEMA Taifa, John Mnyika ni dhaifu sana

    Sioni tatizo na JJ Mnyika. John Heche ni mzuri pia.
  8. K

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hela hizo Sent from my CPH1911 using JamiiForums mobile app
  9. K

    Iramba: DC Suleiman Mwenda aagiza walimu wanaodai fedha za uhamisho na madai mbalimbali kulipwa stahiki zao

    Dc unaweza kuiagiza Wizara ya fedha, Tamisemi au Utumishi kweli?. Hajui majukumu yake
  10. K

    #COVID19 Ifike mahali Askofu Gwajima na wengine wa jinsi yake wadhibitiwe kiserikali na kichama kuhusu chanjo ya UVIKO-19

    Sisi kama chama tunamalengo yetu yaani. Gwajima anaelewa anachofanya
  11. K

    #COVID19 Naomba ufafanuzi wa mambo haya kuhusu chanjo ya Covid-19

    Ok mkuu. Huyu wa Pumu akipata chanjo japo ataambukizwa lkn atapambana nakupona. Asipopata nda tatizo
  12. K

    #COVID19 Naomba ufafanuzi wa mambo haya kuhusu chanjo ya Covid-19

    Habari zenu wanajukwaa. Binafsi nina ugonjwa wa kudumu(Pumu) na nahitaji chanjo. Naomba kujua hili kuhusu chanjo ya Corona kwangu mimi na ambaye hana Puma. Je, nikipata chanjo bado nitaambukizwa corona? Kama ndiyo, je niliyepata chanjo na ambaye hajachanja tofauti yetu ni nini?. Msaada hapa please
  13. K

    Kuna mgao wa umeme wa kimya kimya

    Mwanza ni kila siku wanachukua mchana wanarudisha usiku.
  14. K

    TANESCO tutangazieni kama kuna mgao wa umeme nchini

    Kwa siku kadhaa sasa, umeme umekuwa kikwazo kwa wakazi wa jiji la Mwanza. Sina hakika kama mamlaka zimetoa taarifa kwa uma. Kipindi cha nyuma tunaambiwa kabisa umeme hautakuwepo maeneo kadhaa kwa mda flani na kwa sababu flani.
  15. K

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Natafuta wimbo wa general Defao - Fogy
  16. K

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Nimeutafuta You tube nimeukosa. Mwenye nao tafadhali.
Back
Top Bottom