Hilo siyo la Kweli kabisa kuwa hilo basi lilifika saa 12:00 jioni, hilo basi la Leina limefika Nzega saa kumi na mbili kamili na lilikuwa likiongozana kwa ukaribu sana na basi la Kesbo,sasa ndugu yangu taarifa zingine huwa siyo sahihi zinatakiwa kufanyiwa kazi kabla ya kupost.
Uwezekano wa...
Ni Swali zuri amabalo linahitaji mjadala mpana sana,
Kwanza mimi ninaweza kujibu hilo kwa kuangali pande mbili yaani Chanya na Hasi.
Chanya
Siyo kwamba Kikwete hakuna kitu amabacho hawezi, kuna mengi kama akiamua kuwa na uthubutu wa kukemea na kuyasimamia,anaweza kufanya maajabu makubwa...
"By the day soldiers stop bringing you their problem is the day you have stopped leading them. They have either lost confidence that you can help them or concluded you do not care. Either case is a failure of leadership".
Everyone will agree with me that Kikwete is the president of the United...
The Moose on the Table of Mr. President
"By the day soldiers stop bringing you their problem is the day you have stopped leading them. They have either lost confidence that you can help them or concluded you do not care. Either case is a failure of leadership".
Everyone will agree with me...
Kwa hili kaka nasema go ahead, maana huyu mbunge natai kinyaa sana, amepat ubunge kwa kutoa rushwa, Mbunge ni kiongozi amabaye anaweza kuonyesha njia na he/she must has an ability to think strategic jinsii ya kuweza kuwakomboa watu kutoka kwenye lindi la umasikini na lazima watu waelekezwe jinsi...
Hii kali, lakini kwangu mimi mpaka sasa haijangia akilini ni kwa nini wamemtosa bwana six, hii nchi kwa jinsi inavyoendeshwa, wananchi tusipobadilika , tutaendelea kuishi maisha ya shida sana na kula mlo mmoja kila siku huko mitaa ya Buguruni, tandale, Mabatini mpaka tukome na huko vijijini...
Fantastic,update on time.
we can learn from CCM, whenever there is some signs of oppostion to win, matokeo kutangazwa mpaka mtutu wa bunduki, shame up on them
Kweli jamani njaa hizi zitatumaliza, hivi kweli hayo ni maamuzi ya kabila la kinyakyusa kumpa huyo kijana heshima kubwa kiasi hicho? kama ni kweli ni mawzao yao wote, we still having a a very long way to go.
Well done Mr.kakobe, hiyo ndo demokrasia na ukomavu wa kifikira, lazima mchague kiongozi ila hata mkichagua bomu, msilalamike kuwa mlichaguliwa, hili ni jambo la kuigwa na madhehebu mengine.
Tusi ni kitu ambacho ni subjective and its not objective at all, na kama umeisha wahi kuchunguza,mara nying mtu akiambiwa ukweli huwa anasema ametukanwa,kitu ambacho kwa karne ya sasa hakina mantiki yoyote, ukiharibu, lazima uambiwe kuwa umeharibu na ukiiba lazima uambiwe kuwa umeiba na siyo...
But we have to pay in mind Mr Edward is still very powerful and he is a leader having very strong authority, so anything it can happen at any time.Stay alerted!
Very good observations, ni kweli bunge la Tz linatia watu hasira sana,.the very serious matter ambayo watu wanahisi na kufikiri kuwa itajadiliwa kwa kina na mapana, unakuta inajadiliwa kijuu juu tu, kweli hata mimi hili bunge letu huwa silikubali hata kidogo, wapo kwa ajili ya kuangalia maslahi...
Eeh bwana umenikumbusha sana hiyo ya Diamond J, ni kweli mabasi ya Scandnavia yalikuwa ndo mabasi, vijana wakapandishwa mabasi pale campus, mabibo na Kijitonyama, vijana wakavishwa shati za njano na kijani,kofia bila kusahau Breakfast na lunch, jioni wakarudishwa wakiwa wanaimba nyimbo za...
Huo ni upuuzi wa hali ya juu sana, labda huyo lectural anayewasumbua wamuweke wazi kama kweli wako wasafi wa kutosha maana unaweza kukuta hata matokeo walikuwa wanasup lakini hawasemi kwa kuwa kile chuo ni cha private wanacho hitaji ni pesa, wakawa wana waacha waendelee kupeta sasa mwisho wa...
Nchi haiwezi kuendeshwa kwa mambo kama haya na hayakubaliki popote pale.Mtu akiisha kufa amekufa tu cha msingi kama aliacha maandiko ni kuyasoma, kuya elewa na kufanyia kazi yale ambayo yanaweza kutusaidia au kuteelimisha au kutuasa na siyo siyo suala la mtu kuibuka na kusema kuwa mara Nyerere...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.