Kuna jamaa humu aliweka post akisimulia jinsi alivyofedheheka ughaibuni alipoambiwa afungue kikao kwa maombi kwa kiinglishi. Kwa kweli duniani tunapitia changamoto za aina mbalimbali.
Zamani tulikuwa tunaambiwa kwamba komando mmoja anaweza kupiga watu 1,000 kwa mpigo. Sasa nashangaa kusikia komando analia eti alikamatwa kiholela na kuteswa. Ajabu!
Alichofanya Havertz kutoa pasi kwa mfungaji (nadhani ni Mount) aliye kwenye nafasi nzuri zaidi ya kufunga bao ndicho ambacho Odoi alipaswa kufanya siku ya mechi dhidi ya Man United kwa kumpasia Ziyech aliyekuwa kwenye nafasi nzuri zaidi ya kufunga bao. Uchoyo wa Odoi ulitukosesha bao muhimu.
Usiwe poyoyo na wewe kwa kushadadia akili za mabeberu. Ngoja nikueleze: Mabeberu (US, EU, Israeli, Canada, Australia) wamesababisha political instability na kuwezesha mauaji ya Wakongo zaidi ya milioni 6 ili kufanikisha azma yao ya uporaji wa rasilimali nchini DRC. Hebu tuambie, ni wapi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.