Mkubwa unaonekana unapenda kweli ligi za kidini, hivi unaelewa ile misamaha haikuwa kwa wakristu tu? Hivi unajua hata taasisi za kiislamu zinanufaika na misamaha hiyo? Unajua hata taasisi za kina Agakhan zinanufaika? Inabidi tufike mahali tukisikia kitu tujaribu kukiangalia in 3 dimensions...
Mnamkumbuka mzee Dastan aliyekuwa anavaa nguo fulani za kijani? mi hadi leo hata sijui alikuwa anafanyakazi gani yule mzee! Afande Warioba je? Na Afande Peter!
Issue kwangu ilikuwa kwenye kuoga! nacheza kutwa nzima ikifika jioni ndio mtihani sasa, unakuta maza anakusubiri mlangoni ukiingia tu unaambiwa nyoosha bafuni, mzee unapiga passport size unatoka, maza aliponishtukia ikawa ananikagua ukitoka bafuni kwanza ngozi ya ndani ya sikio inaguswa kama...
Nadhani ni madhara ya bangi, na kwa jinsi navyomsoma marehemu na maisha yake yanavyoonekana ingekuwa ngumu sana kukaa na mvuta bangi.........hakika ni hasara kwa jamii, taifa na familia yakina Bertha, Mungu masamehe dhambi zake dada Bertha na amrehemu, ila huyo bwana SIMUONEI huruma hata chembe!
Usishangae mkuu $500 kwahiyo kitu ni sawa bin sawia kabisa, ni mbwa wazuri sana na utawa treat unavyotaka, wana heshima na ni walinzi wa ukweli
Otherwise makoko nao wapo wengi tu tena bure, ukisikia mbwa wa jirani kazaa unaomba anakupatia vitoto viwili buree, kimoja kinakua kingine kinakufa...
Huo ni upotoshaji wa hali ya juu. Anataka kutuaminisha kuwa Zanzibar haiwezi kusimama peke yake kama Taifa bila kuwa ndani ya Muungano? Du! I can not buy that idea. Hata kama mimi ni mtu wa bara I believe for sure that Maendeleo ya Zanzibar yamecheleweshwa kwa kuwa ndani ya Muungano. Kadri...
Du, Bongo ni nchi nzuri sana.... hivi kesi kama hii ingemkuta mshkaji tu wa street angekuwa wapi saa hizi? Haya mambo kuna haja ya kutoyafuatilia kabisa maana saa zingine roho inauma mno inatamani ipasuke! Hapa tayari mchongo unachorwa na mzee atahukumiwa kulipa fine kwa kuendesha gari bila bima...
Dear Sophist, kabla ya kutetea jiulize kwanza, huyo chatu alimpandisha jamaa kwa kumng'ata akapanda nae au alijisokota wakapanda wote au we waonaje?
Hamna stori hapo ni uzushi tu.....na picha yenyewe ni kama walikuwa wanapambana hadi jamaa kapata nafasi ya kuvua shati.....kupiga simu....kwanini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.