Hao marehemu walikuwa ni matapeli wakubwa hapa jijini Mwanza acha wapumuzike huko Ahela kwa maumivu. Kwaza wamekufa wakiwa na kesi (file) nyingi Police zaidi ya sita.
Muda huu kumetokea msongomano wa magari barabara ya nyerere road kisa huyu katibu mkuu wa ccm akipita na polisi ( traffic) kufunga barabara, huku ikifahamika kuwa kinana ni katibu wa chama si wa kiserikali. Je huu ni usitaarabu kila kiongozi wa ccm kuleta adha kwa wananchi?.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.