Rais Mh.Dr.John Pombe Magufuli ametoa Shilingi Milioni 340 kwa ajili ya kukarabati mradi mkubwa wa maji safi na salama utakaohudumia vijijini vinne kwenye Kata ya Rutamba Wilayani Lindi.
Ukarabati huo utahusisha ujenzi wa matanki mapya wawili yenye ujazo wa Lita laki moja kila moja...
Introvert ni kujiendekeza tu ,ubinafsi na uchoyo.Badilikeni.Hakuna binadamu asiyependa privacy kukaa peke yake lakini nyir mmeenda extra mile acheni kujiendekeza mtakosa kuzikwa how come unajifungia ndani chumbani hupokei simu wala kupigiwa simu mtajikuta mmekufa Hadi mmeoz majirani hawajui...
USALITI, UNAFIKI NA UTAPELI UNAMWISHO.
Nilijua iko siku vijana wa CHADEMA watagundua ni kiasi gani wanadanganywa na uongozi wao wa juu wa chama hasa MH. MWENYEKITI WA KUDUM.
Hivi kwa akili ya kawada umewahi kujiuliza ww kama mwanachama wa CHADEMA.
1. Kwann wabunge wote wajitolee kila mwezi...
Kuwa mpinzani ni sawa na kuvaa nguo nyeupe , DOA likigusa tuuuu ni balaaa .Ni kweli wakuu fedha zimepigwa, zaidi ya 1.9 Bilioni.
Wakuu ni hivi jumla ya Tsh 1.9 Bilioni, Zimekwapuliwa kwenye account ya Chama, (CHADEMA) Miezi kadhaa iliyopita.
Toka jana Chama kimeshindwa kujenga hoja kabisa juu...
1.Baa medi na mademu unaokutana nao club
2.Mama Ntilie
3.Wanafunzi wa vyuo
4.Demu uliyekosea namba
5.Demu mliyekutana katika mitandao ya kijamii
6.Demu wa saluni
7.Demu wa rafiki yako.
8.Mpangaji mwenzako
9.Mfanyakazi mwenzako
10.Demu yoyote atakayejipendekeza we lamba tu.
Ukifikisha...
Wapo Kila mahali anaweza kuwa mkeo/mumeo,padri/mchungaji wako sheikh,mwalimu,daktari,polisi,mwanajeshi,pccb,mtendaji kata,mpishi ,machingaa.kichaa,muuza machungwa na karanga,kiongozi wa upinzani,mvuvi,Teja, mhadhiri,mwanafunzi muokota makopo,mfanya usafi jalalani, mfanyakazi wa kujitolea ofisini...
Augustino Chiwinga
Mtama-Lindi
0659438889
Kwa kawaida huwa ni heshima iliyotukuka pale ambapo mtu anateuliwa na Mh Rais kushika madaraka katika ngazi fulani mathalani ya Mkoa,Wilaya au Halmashauri. Huwa inaonesha imani na mategemeo makubwa ambayo Rais anakuwa ameyaweka juu ya mtu huyo.
Lakini...
Kinara wa biashara za magendo Wilayani Kilwa ambaye pia ni Mwenyekiti wa Halmashahuri ya Wilaya ya Kilwa Ndugu. Abuu Musa Mjaka (CUF) amekamatwa na Mbao za Magendo vipande 400 Nyumbani kwake.
Taarifa ambazo zimethibitishwa na mkuu wa wilàya ya Kilwa,Christopher Ngubiagai zimeeleza kwamba...
Dawa chungu haipendwi na watoto .Polepole ni kigingi cha wapizani kuweza kushinda 2019/2020 kutokana na uwezo wake wa kujenga hoja na kuzitetea.
Wapinzani wanapaparika kutaka kumuondosha katka track ,Polepole kaishika vibaya mitaa ya ufipa
Jana siku ya Tarehe 5/5/2018 wakati Mh. Rais Magufuli akiendela na Ziara yake Mkoani Morogoro alisimamishwa na wananchi katika Kijiji cha Mang'ula, na hapo ndipo akajitokeza kijana mdogo wa kidato cha kwanza aitwaye Mlindoka Msangi akaelezea changamoto ya vyoo inayoikabili shule yao ya...
Wilaya ya Chemba ina ardhi kubwa ya kutosha yenye rutuba sana inayofaa kwa kilimo cha mazao mbalimbali kama vile dengu, ulezi na mengineyo mengi. Karibuni sana Vijana kufanya kilimo katika wilaya ya Chemba.
Wilaya yangu inahakikisha asilimia 5 za Vijana na kina mama zinatoka na kuwafikia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.