Nimepata nilichokuwa nataka has a hapo kwenye alovela Mimi nilikuwa nakatia majani bila kupima maji sasa naona kuku wangu wanaishiwa nguvu na kufa ghafla.
Mama asante maana hiyo itasaidia kuipunguzia serikali mzigo kwa asilimia fulani Mimi nipotayari kuchangia tukihamasishana tutajikomboa watoto wanalia .wakati wazazi wanawasomesha shule za kulipia walikuwa na kazi za kuajiriwa au kufanya bishara ndogondogo sasa aidha wamestafu au uzeee magonjwa...
Naomba wanaccm wote wavumilie furaha yao maana hali ilikuwa mbaya kweli sasa unachomokea kwenye tundu la sindano kweli lazima upagawe kwa eneo hilo wanapaswa. But u need to avoid excessive happness ili usipate matatizo mengine. Upo uwezekano ukumchagu au ulimchagua lakini kwa sasa ndiye na kama...
Kwa sasa tuwe kitu kimoja hadi wakati wa uchaguzi ujao. Kwa kipindi hiki tuungane tuitoe nchi kwenye mkwamo. Rais Magufuli sio mbaya ni mtu ambaye atatufisha pazuri sana japo kweli mfumo japokuwa ni kweli maumivi kuisha itachukua muda lakini tuvumilie
Uchaguzi umepita aliyechagua mbunge bomu au Rais asiyeweza kumsaidia kifuatacho ni majuto na taabu nyingi. January karo za watoto na uandikishaji wa wanafunzi
Mke Wa Magufuli hapendi mme wake awe Rais wewe unataka awe Rais. Hivi anayemjua Magufuli zaidi ni wewe au mke wake? Mama Magufuli ameonyesha ishara mme wake hastahili kuwa Rais wa nchi hii
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.