Hii barabara ni shida sana, halafu Watu wa huko wapo kimya tu kuanzia viongozi mpaka wakazi wenyewe.
Zamani magari makubwa kama eicher yalikua yanatoka Gerezani mpaka kisewe sasa hivi mengi yamebadili route yanaenda Kisemvule kwa sababu ya Barbara mbovu.
Hiyo barabara ni kubwa sana, Watu wa...
Nauza Jenereta kama unavyoiona kwenye picha hapo na specification zake, unaweza kutumia nyumbani, dukani, salon , au ofisini n.k ipo vizuri kabisa haina shida yoyote ni kama mpya tu.
Ipo KIJICHI CCM, DAR, serious buyer nipigie simu 0762689222.
BEI 280,000 piga simu kwa maelewano 0762689222.
Asante mkuu nimeiona hiyo button na hapa nasurf full mzima, unajua hii PC nimenunua Jana sasa kuna MTU aliniwekea network fresh niatumia intranet Jana , sasa usiku ndo ikawa haiwaki hapo kwenye WiFi, dah toka Jana usiku naangaika kuweka sawa kila MTU nikimuuliza anashindwa kumbe ishu yenyewe ni...
Wakuu habari za weekend. PC yangu kwenye wi fi haiwaki on , nikiclick kwenye WiFi haioneshi on au kubadilika ranging inakuwa bluu yaani on, nataka koconnect na internet ya simu nitumie PC, naombeni msaada tafadhali.
Nipo karume dar, we niunganishe na wateja utapata cha juu usijali , na ukiweza kupata wateja wengi nawe utapata zaidi speed yako ndo pesa yako, kama vipi njoo pm tufanye kazi.
Biashara ni maelewano ndugu, bei inategemea na kiatu kilivyotengenezwa ubora wake na muonekano pia , sasa Mimi nauza 8500 kwa wateja wa bongo ila kuna wateja wangu wako zambia na wananunua 10000 kila pea na huwa wanafunga mzigo pea hadi 300 kila mwezi, na pia wateja wangu wa dar wananunua kwa...
Ndugu kupitia huu uzi nimeshapata wateja mpaka sasa wamefika 13 na oda imefika pc 83 sasa wewe endelea kupoteza muda wako kukomenti yaani wateja wanaongezeka huu Uzi nimeweka Jana usiku tu , siwezi kubishana na wewe maana sio fundi hujui kitu kabisa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.