Kutokana na ugumu wa maisha pamoja na mbao kupanda bei, tumeamua kuwa wabunifu.
Kwa sasa huku UCHAGANI mgomba unatoa mbao, kwahiyo kitanda changu nimetengeneza kwakutumia mbao za mgomba, so mambo yanakwenda aste aste.
Kwasababu hao watu wangekua wanajua njia zote.
Hebu angalia watu wanaoijua sheria si rahisi kupewa kichapo na police ila watu kama wamachinga na wengineo wasioijua sheria wanashurutishwa pasi na sababu.
Mi naona kama ingekua safi kwa upane mmoja ila mbaya kwa upande mwingine.
1. Kwa wale ambao hawajafanikiwa kusomea hio taaluma kama wangeolewa/oa waliosomea nazani wangejifunza vizuri hilo jmbo japo sometimes ingekua mbaya kwa wengine pale ambapo wale wenye PHD,MASTERS wangewatesa wasio na hivyo...
Kwani huyo mgonjwa akienda kwa daktari hatomuonyesha hiyo sehemu iliyo athirika na huo ugonjwa???
Pengine inaweza ikawa si fangus ila ni ugonjwa mwingine.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.