kwa nini wanatumia hela nyingi sana kwa zoezi la kutangaza nia? mbona ukiitisha press conference inatosha tu! lakini mbwembwe nyingi utafikiri chama kimeshawateua!
Pia wajapani, wakorea, (korea kaskazini ndyo kabisa hata cha kusalimia hawawezi lakini wana makombora ya nuclear)
Rais wa Mozambique alipotutembelea TZ aliongea kwa Kireno, ingawa anauwezo wa kuongea kiswahili na Kingereza cha kueleweka.
kwa utafiti wangu ni asilimia checha ya wanandoa ambao hawachepuki, ishi ukujua hivyo hata kama unamwamini mkeo, she is just a human being, na ninapinga dhana ya kusema wewe unammiliki mkeo, yeye si domestic animal like dog!
1. Kutoa Mahali si kununua mwanamke
2. kufunga Ndoa haina uhusiano na kutopiga mchepuko, ndo maana ktk kiapo cha ndoa sijaona kiapo cha kutochepuka
3. Kumfumania mke wako na kumdhalilisha yeye na mgoni, huo ni UJIMAAA! this is a 21st Century!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.