Mtanganyika,kwanza hongera sana kwa kuanzisha hii mada.Swali langu ni,,napenda kuanzisha kampuni ya utalii(tour)but i would like to focus mostly on local tourism,je nizingatie nini?
Yote yana mwisho,na mwisho wake ni mchungu kuliko subiri!!mawazo ya viongozi wa awamu ya nne ni ya kifisadi,ila mwisho wa yote hatimaye ukweli utashinda ni saa ya ukombozi,tuchukueni hatua!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.