tunawaombea wote waliofikwa na msiba, Mungu awape nguvu na rehema.
Chanzo ni daladala coaster iliingia road ghafla, mwenye roli alikuwa anaikwepa daladal iloingia road ghafla, trailer liliyumba na kuipiga pass noah wakati wa jitihada hizo ''swivel pin'' ya loli ilikatika na kichwa kikaendelea...
Salaam Wanajanvi,
Tupo katika mapambano na malaria, hasa kuwatokomeza mbu wanaoeneza hayo malaria.
Mwenye kujua hebu tujuze kama mchai chai (Lemon Grass) unaweza kufukuza mbu pamoja na wadudu wengine kama nzi?
Kama ni kweli hufukuza mbu (insect reppellent-citronella), haya majani...
Nakubaliana na kuchukua likizo ili kusimamia, lakini kabla ya hapo jaribu kuwepo dukani kila baada ya kazi pamoja tumia week ends na siku zako za off uuze mwenyewe utaona mapungufu mengi kwa mfano:
1. Muuzaji yupo makini na kazi au mladi apata mshahara.
2. Muuzaji anaanza bei za juu ili apate...
USHAURI: MSHAHARA NA UKOMO WA DEREVA KUHUSU GARI
Kila biashara/shughuri yoyote ina ugumu na karaha zake
Biashara ya daladala inalipa na ni nzuri kwa wale wasio na muda mchana .As rule of thumb. HIACE (Tajiri=24days x 45,000/=, Service= 2days x 45,000/=, trafic &s umatra & majembe=2days x...
Saitama-kein,
Dawa ya kumsaidia huyu mgonjwa inaitwa BONJELA hii inapatikana katika maduka ya dawa makubwa, pia ni bei mbaya(relatively) na ukiweka ktk kidonda inauma sana dk 2 za mwanzo.
Katika maduka ya kawaida utapata dawa ya tube inaitwa ORREPASTE .Zote dawa hizi ni mswano sana na hii ya...
Thanx for information on health benefits of HONEY.
A nutural Honey can be purchased at Ministry of natural resources, department of honey and bee.
But we are looking availability of PROPOLIS in local market esp.in DAR
Due to acidity(low PH) of propolis and Honey it is vey good to improve...
Garlic just regulate blood pressure(high or low) through dealing with cholesterol and triglycerides.
Garlic (Allium sativum L) is a common garden plant with an edible bulblike root. it is used for cooking and medicinal purposes.
When fresh garlic is crushed or chopped, enzymes within the...
Suala zima naona lina utata hasa lengo kubwa likiwa ni kupunguza kero kwa wasafiri na wasafirishaji abiria.
Kuna mambo ya msingi yameelezwa kuhusu kupewa tender yenyewe lakini pia 1.Hawa majembe watalipwa namna gani? kama watalipwa kutokana na faini za
wakosaji na kwenda tofauti na leseni...
Namie namkumbuka hasa pale mlimani alikuwa kipanga sana.Nadhani kwa ukifaa wake na uchapakazi wake tulipokuwa naye TRIANGLE -Zimbabwe aliamua kurudi home,masikini sijui DOwans walimdaka wapi? Yawezekana kwa utaalamu wake aliobobea katika mitambo ya kufua umeme.
Anyway mjomba, yawezekana hajui...
Katika pitapita zangu nimekutana na mjasiliamari anayeweza kutengeneza viatu kwa kutumia ngozi za ngombe na samaki.Nimevutiwa sana na nikajenga hamasa ili niweze kutengeneza rangi mbalimbali, kwa kuanzia natamani kutengeneza rangi za majumbani. Natafuta ushauri kwa wenyekujua nianzie wapi...
Asante sana October, kwa jinsi hiyo inatubidi tuwe wapole tusubiri mwenendo wa kesi , nadhani wiki hii haitapita.Nitaku-PM baada ya kesi kwisha ili utushauri ni wapi tunapata wakili wa kesi za traffic na tunafungulia mahakama gani.
Mwanajamii sheria inabidi tuzijue na haki zetu tuzijue laa...
Salaam wana jamii.Naombeni ushauri tunawezaje kupata malipo ya bima baada ya kuumia katika ajali ya barabarani hapa dsm.sie tulikuwa katika basi, lilikuja loli lilioshehana pamba likagonga kwa nyuma basi letu na kuendelea kugonga magari mengine hadi matano.
ajali ilipimwa, vielelezo vyote vya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.