Nimejaribu kuwawekea kuku wa aina nyingine mayai ya kuku kuchi lakini hayatotolewi. Nikanunua kitotoleshi (Incubator) napo mayai hayakukutotoleshwa. Msaada wa elimu... nifanyeje?
Usiseme hivyo ndugu! Kusimamishwa na askari halafu ukakaidi huwa inampa askari tafsiri kuwa wewe ni mhalifu! Na sio TZ tu ni nchi yeyote inakuwa hivyo.
TISS ni Watanzania wenye Uzalendo na Taifa lao! Ni wewe na mimi bila kujali kama tumeajiriwa katika TISS kwa sababu bila wewe na mimi TISS haiwezi kufikia malengo ya kuanzishwa na kuwepo kwake! Yaani TISS inatutegemea sisi katika kufanya kazi. It need to be fed with Intelligence from us....
mambo mengine hayana kiswahili ndugu. Mfano strawberry kiswahili utaita stroberi. Sasa hicho sio kiswahili bali kuchapia kiingereza. Nakushauri u-google utaona kwa picha.
Jamani eeeh...Kama una hangover usi-comment hadi ikuishe please. Soma hii makitu upate knowledge! Preta@ hebu kuja hapa please....
Njia bora ya kuondokana na uchovu (hangover) ni kunywa kiasi au kuacha kabisa unywaji pombe. Kamwe dawa ya hangover sio kuzimua kwa pombe asubuhi ya siku nyingine...
Kujiamini kwa mwanaume lijali ni pale anapomtosheleza mwenzi au mpenzi wake wakati wa kufanya mapenzi. Na furaha ya mwanamke ni pale anapofikishwa kwenye utoshelevu anaoutarajia kutoka kwa mwanaume au mwenzi wake wakati wa kufanya mapenzi. Kutokana na uhitaji na shauku ya kutaka kuwafikisha...
Jamani eeh,
Sina fedha wala dhahabu ya kuwapeni wenye tatizo la upungufu wa damu kama vile wagonjwa na wanawake wenye ujauzito, ila nilicho nacho leo nawapa. Niwapacho ni maarifa ya kutengeneza juisi ya matunda na mboga ya majani iliyosheheni madini ya chuma (Iron Galore). Juisi hii ina...
Watu wanene au wenye Fetma (Obesity) hukumbwa na hali ya kupenda kula kula au kwa maneno rahisi shauku ya kula. Ndio maana licha ya kujitahidi kufanya mazoezi au kufanya diet unakuta mhanga wa tatizo bado anaendelea kuwa na tatizo. Wengi wamefikia hatua ya kukata tamaa na kujiona ndio basi tena...
Nitaeleza namna ambavyo watu wanene wanavyoweza kupunguza uzito na kuendelea kuwa na uzito unaoendana na urefu wa miili yao (Body Mass Index – BMI). Kabla sijaeleza mambo muhimu ya kufanya ili kuondokana kabisa (100%) na Tatizo la Fetma au Unene uliozidi napenda nitoe angalizo kwa wale...
Natafuta Essential Oils kama vile Jojoba, Sandalwood, Lavinder, Flax seed oil, nk. Kwa ambaye anajua mahali naweza kupata tafadhali anitumie msg kwa simu 0688308840
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.