Search results

  1. L

    Muungano wa Tanganyika na Zanzibar: Una faida gani na kwa manufaa ya nani?

    Hivi mwanzisha mada ni Mtanganyika?
  2. L

    Tanzania isitishe uhusiano wa Kibalozi na Utawala dhalimu wa Muammar al-Gaddafi

    Sasa hivi hakuna ujasiri tena wa kimsimamo. Mtindo uliopo sasa nikuvizia kusubiri tamko la AU na sisi tujichomeke humohumo. Hakukuwa na lolote kwa Ivory Coast wala Madagaska mpaka ulipotolewa msimamo wa AU ndiyo unamuona Membe anaibuka nalo. We exist without loci Tumekuwa bendera fuata upepo.
  3. L

    Bosi wa Airtel aingia nchini, akutana na JK na akataa kupigwa picha

    Picha yake yanini na yeye hajaja na mision ya kutuibia pesa zetu
  4. L

    Magafuli mbumbumbu? Foleni ya leo Morogoro Road

    Nakubaliana nawe. Hii ni changamoto ambayo inatakiwa iangaliwe pia kwamba sheria inawapa mamlaka ya kulitekeleza hilo. Ila mazoae ndiyo tatizo. Ni wakati sasa wa TANROADS kutekeleza pia role of monitoring the practices that reduces capacity of the carriageway na kuchukua hatua stahili kama vile...
  5. L

    Kauli ya Rais Kikwete juu ya milipuko ya Mabomu Gongo la Mboto

    Umeshaonyesha shaka ya maneno yake sasa why bothered with the rest of what he said
  6. L

    Prof. Maji Marefu Bungeni aonya waganga wa jadi kutodharauliwa

    Huduma ya kupiga ramli imesogezwa kwa kasi zaidi karibu na wahitaji
  7. L

    Tanzania haina sababu ya kuwa na Bunge; madiwani wanatosha

    Hivi mafanikio kwenye deliverables za mbunge yanaweza kupimwa kwa vigezo vipi?
  8. L

    "Engineer" huyu kiboko...,

    Atakuwa mtunukiwa wa Degree ya Heshima
  9. L

    Amatus Liyumba: Balaa!

    Hapa umesema vyema tusipotoshe maan ya professional indemnity
  10. L

    GTV: Ndio tumekula hasara au?

    Nakubaliana na wewe na ndiyo taaluma ya biashara inavyotakiwa usisubiri ufe kifo cah mende bora nusu shari. Hii ndiyo press release iliyokuwepo kwenye wesite yao:
  11. L

    Unaishi kwa kipato chako?

    Swali la msingi ni kuwa hivi kweli ikiingia serikali makini ikakata mianya yote ya "kipato cha ziada" na kulazimisha watu kuishi kwa malipo yao ya mwezi, wangapi kati yetu wataipigia kura serikali hiyo? Kama kuna wapiga kura wa dhati kabisa wenye kupiga kura kwa dhamira halisi inayosukuma...
  12. L

    SPEECH YA John McCAIN

    This is real the great speech that reflects political maturity and true citizenship.
  13. L

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Nadhani tatizo siyo mchezaji wa bei gani kwani bei nyingine huwa haziendani na jinsi mchezaji atakavyokuwa kama Shev aliponunuliwa na the Blues. Kubwa ni kule kutokuwa na wachezaji mbadala ambao pindi ikitokea mmoja anumia basi pengo lake linaweza kuzibika with consistence hasa pale nyuma na...
  14. L

    Kagame cup mshindi wa 3: Yanga waingia mitini

    Mfa maji haishi kutapatapa. Kwa mantiki ipi CECAFA ikubali kutoa pesa zaidi ya zile anazozawadiwa mshindi labda kama inaongozwa viongozi wa aina ya Yanga. Kwa madai ya kiasi hicho Yanga ilikusudia kukwepa kucheza kwa kudai kisichowezekana
  15. L

    Kagame cup mshindi wa 3: Yanga waingia mitini

    Katika jamii yoyote unapokuwa na wanachama wasio na vision na uongozi ambao ufanisi wao unapimwa kwa vigezo holelaholela ndiyo matokeo yake yanakuwa kama ya Yanga kukimbia mechi. Ni matunda ya utamaduni wa hizi klabu zetu ambapo Kiongozi anapimwa ameongoza vizuri kwa kutengeneza mazingira ya...
  16. L

    Government to sue NorConsult

    Kila wakati tender inapotangazwa inaambatana na vigezo kadhaa vya tender mojawapo ni kuthibitika kuwa anayepewa kazi ana usajili wa BRELA na ana-valid business license. Kasumba au ujinga tulionao wengi wetu kwenye hizi ofisi za uma ni kuwa strict na ku-screen tender za watanzania wenzetu na ili...
Back
Top Bottom