Jamani mbona tunajaribu kufananisha vitu ambavyo havilandani, JMK na Mwalimu! Wapi na wapi jamani,m.
Wakati Mchonga aliwaita na kukemea na hata kulambwa bakora (kama hamna taarifa Waziri mmoja liwahi kuchapwa na Mchonga enzi hizo) Jamaa yetu yeye kimya tu! Na bado wanatamba tu bila kufanyiwa...
Nilipita mahali kwenye kurasa fulani nikaona haya,,, Ndoto ni marudio ya ama yale uliyokwisha yatenda au unayotarajia kutenda,,,, Ingekuwa ni upande wa pili si mtu angepigwa na mwiko,,, hata hivyo jamaa mvumilivu,,, muulize hajarusha ngumi siku aliposikia rafiki yake natajwa kwenye makasheshe?
Na hata hujawahi kuwa na mchumba? Na hata hawakusalimii? Tafuta kungwi akufunde namna ya kuaproach.
Vidato wala degree huku hakuna mama,,,, tafuta uwezo wa mume mwenye uwezo wa kuongoza familia. A man success is not how much money he has but what kind of family he has brought up.
Haki, this was the problem,, let the kids know the truth,,,, hahahaa,, nafikiri mama alizimia. Inanikumbusha jamaa zangu Manjeree (Maasai) Wnapenda sana kuoga pembeni ya barabara wakati wa mvua,,, huwa wanawajibu nini watoto wakiwauliza hiyo ni nini hapo katikati,,, mkono ndogo,, mbado kujua
Yeah, ndiyo Tanzania yetu,,, yenyekuhitaji wataalamu warudi nyumbani,,, kufanya nini? Masau na wenzako mnaonyesha ni jinsi gani mnavyojali baba zenu, mama, dada, kaka, watoto wenu,,, Maskini wee binadamu hawa walioko madarakani hawaoni,,,ingawa macho wanayo,,, hawasikii ingawa maskio wanayo...
Sioni Sababu watu walumbane. Ni haki ya kila mtu kujua. Kama wewe hutaki mwenzako ajue kwa nini ujibu mambo yasiyofaa. Tuache ubinafsi. Uvivu unatokea wapi hapa? Issa waridhishe wadau wako. Wanakujali ndiyomaana wanakuulizia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.